Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
HATUTAKI HIYO TUME YA 'WAUWAJI' KUENDELEA NA KAZI YA KUCHUNGUZA JARIBIO LA HEMED MSANGI NA TIMU YAKE KUCHUKUA UHAI WA DR ULIMBOKA!!
Siku zote Mungu HALIPWI RUSHWA na ndio maana anaendelea kuitwa Mungu. Mungu yuko upande wa WaTanzania walalahoi wote hivyo Mungu akiamua kuwaumbua wenye madaraka ndio kama hivi mambo yanavyoendelea kujitokeza kila sekunde.
Dr Ulimboka hata AKIFA LEO tayari ameachia WaTanzania wenzake ushahidi mzito ajabu. Enyi Madaktari wetu mnaonyanyaswa; watu wasiingie ovyo kwenye chumba cha mgonjwa na watoa huduma zote za kitabibu, ufagizi, chakula na kitu chochote kile wajulikane kwa VITAMBULISHO MAALUM na sahihi zao kila wakati.
Mauaji ya kijinga, chuki na visasi; hata ukiamua KUTANGAZA HALI YA HATARI na kutia baadhi ya watu ndani kwa HOFU ZAKO MWENYEWE kamwe hakutokusaidia kitu.
Dr Ulimboka ugua pole na sala za WaTanzania ziko na wewe wakati wote huu huku TAIFA LIKIENDELEA KUTOKWA NA MACHOZI ya damu wakati wote tangu mkasa ukupate.
Siku zote Mungu HALIPWI RUSHWA na ndio maana anaendelea kuitwa Mungu. Mungu yuko upande wa WaTanzania walalahoi wote hivyo Mungu akiamua kuwaumbua wenye madaraka ndio kama hivi mambo yanavyoendelea kujitokeza kila sekunde.
Dr Ulimboka hata AKIFA LEO tayari ameachia WaTanzania wenzake ushahidi mzito ajabu. Enyi Madaktari wetu mnaonyanyaswa; watu wasiingie ovyo kwenye chumba cha mgonjwa na watoa huduma zote za kitabibu, ufagizi, chakula na kitu chochote kile wajulikane kwa VITAMBULISHO MAALUM na sahihi zao kila wakati.
Mauaji ya kijinga, chuki na visasi; hata ukiamua KUTANGAZA HALI YA HATARI na kutia baadhi ya watu ndani kwa HOFU ZAKO MWENYEWE kamwe hakutokusaidia kitu.
Dr Ulimboka ugua pole na sala za WaTanzania ziko na wewe wakati wote huu huku TAIFA LIKIENDELEA KUTOKWA NA MACHOZI ya damu wakati wote tangu mkasa ukupate.
hahaaaaa JK bwana yaani anajifanya hajui nani kamjeruhi Dr.Ulimboka !!! Jk bwana mbona unanichekeshaaaa