Nchi inakaribia kupasuka

Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Ziro thinker
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Jaribu kutofautisha nyakati bwana mdogo, JPM alizuia mikutano lakini madhara yake yameonekana siyo ya kusimuliwa, wacha watu wazungumze msiwazibe midomo, pale penye ukweli pafanyiwe kazi. Period
 
Lisu wamwambie ukweli hatumpendi kwa kauli zake za chuki mi siwezi kupoteza kura yangu kumpigia Lisu kwanini hajifunzi kwa MWENYEKITI wake mbona ana hoja za kistaarabu tu.
 
Kama kuandika tu vizuri huwezi, kweli utaweza kumuelewa Lissu?

Kwakweli ngozi nyeusi ni ngozi nyeusi tu.
 
Lisu wamwambie ukweli hatumpendi kwa kauli zake za chuki mi siwezi kupoteza kura yangu kumpigia Lisu kwanini hajifunzi kwa MWENYEKITI wake mbona ana hoja za kistaarabu tu.
Lissu atapewa kula na wenye akili timamu
 
Back
Top Bottom