yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,526
- 1,913
Salaam,
Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbaro kutoa maelekezo kwa mashabiki wa soka nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajili ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, muhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masilahi ya nchi.
Kilichotokea ametukanwa matusi yote, na amedharirishwa utafikiri hilo amelifanya kwa masilahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?
Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.
Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbaro kutoa maelekezo kwa mashabiki wa soka nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajili ya nchi, na upinzani wetu wa simba na yangu tuuweke pembeni kwanza, muhimu ni simba na yangu tuziunge mkono kama taifa na kwa masilahi ya nchi.
Kilichotokea ametukanwa matusi yote, na amedharirishwa utafikiri hilo amelifanya kwa masilahi yake binafsi na familia yake, au kafanya kwa masirahi ya CCM. mie ninajiuliza, ni lipi hasa kosa la Ndumbaro?
Mbona nchi nyingine huwa tuna ona jinsi walivyo wazalendo? Ninasikitika huu mpasuko na mgawanyiko wa taifa letu.