zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Nchi ya Tanganyika inapotea na kuangamia kwa kukosa Viongozi wenye Maarifa.
Mawazo yao yamejawa na husda na tamaa za kuishi vizuri wao na familia na bila kumkumbuka yule wa hali ya chini.
Viongozi wamekosa uzalendo na utaifa zaidi kwa kuwatumia wachache wenye maslah nao kuliko wale walio wengi wanao hitaji ubunifu wa viongozi wao katika kupiga Hatua.
Uongozi umekuwa kichaka cha kufichia maovu na kuwaibia wenye haki na Rasmali za taifa hili.
Ni mtazamo tu wala usijenge.
Mawazo yao yamejawa na husda na tamaa za kuishi vizuri wao na familia na bila kumkumbuka yule wa hali ya chini.
Viongozi wamekosa uzalendo na utaifa zaidi kwa kuwatumia wachache wenye maslah nao kuliko wale walio wengi wanao hitaji ubunifu wa viongozi wao katika kupiga Hatua.
Uongozi umekuwa kichaka cha kufichia maovu na kuwaibia wenye haki na Rasmali za taifa hili.
Ni mtazamo tu wala usijenge.