Tanzania iko njia panda.
Rais hana mamlaka tena,analosema linaonekana kama takatataka. Aliodhani watamsaidia, sasa wamemgeuke kabisa, wako kinyume naye.
Ni hali tete isiyo ya kawaida, hali ya hatari. Ni wazi sasa kuna pande mbili zinazopingana, yaani serikali mbili. Mafahali wawili wanapigana na katika hali hii zitakazoumia ni nyasi, yaani wananchi. Ni mzimu gani umeikumba nchi yetu jamani?
Kikwete nakuuliza wewe, hivi umeshindwa kabisa kupata suluhisho la kudumu la matatizo tunayokabiliana nayo hivi sasa? Hivi unataka tuanze kuchinjana kama kuku?
Kwa mtazamo wangu ni kwamba hata kama unayo mikakati ya kumaliza matatizo yanayolikumba taifa letu hivi sasa, speed yako ni ndogo mno. Tutakuwa tumeshamalizana hata kabla mipango yako haijafanikiwa.
Naomba ukimbie badala ya kutembea.
Rais hana mamlaka tena,analosema linaonekana kama takatataka. Aliodhani watamsaidia, sasa wamemgeuke kabisa, wako kinyume naye.
Ni hali tete isiyo ya kawaida, hali ya hatari. Ni wazi sasa kuna pande mbili zinazopingana, yaani serikali mbili. Mafahali wawili wanapigana na katika hali hii zitakazoumia ni nyasi, yaani wananchi. Ni mzimu gani umeikumba nchi yetu jamani?
Kikwete nakuuliza wewe, hivi umeshindwa kabisa kupata suluhisho la kudumu la matatizo tunayokabiliana nayo hivi sasa? Hivi unataka tuanze kuchinjana kama kuku?
Kwa mtazamo wangu ni kwamba hata kama unayo mikakati ya kumaliza matatizo yanayolikumba taifa letu hivi sasa, speed yako ni ndogo mno. Tutakuwa tumeshamalizana hata kabla mipango yako haijafanikiwa.
Naomba ukimbie badala ya kutembea.