sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Vijana wengi wadogo wakiwaona celebrities kina Diamond, Mario, Mbwana Samata, Masoud Kipanya, Joti. n.k. wanashawishika kutaka kuanza maisha ua sanaa ama michezo bila kujua kundi hilo halizid watu 900 kwa ujumla wenye maendeleo kwa kutegemea kazi hizo,
Unganisha wasanii na wanamichezo wote hapa Tanzania hawazidi 900 wanaoweza kutegemea kazi zao kuendesha maisha yao, Mbaya zaidi uchumi wa wanamichezo hao huwa mashakani wakistaafu wakiwa bado vijana wenye miaka 38 tu nao wasanii mfano bongo fleva kuna kipindi wanahit lakin baada ya hapo wanaipotea kabisa na mifano ni mingi.
Ni heri kijana usome uje ujaribu bahati kwenye ajira serikalini hata private kuna watanzania zaidi ya laki 1 wanaingiza milioni na kuendelea kila mwezi, ni pesa ambayo ukiji manage vizuri itakutosha walau uwe na maisha ya wastan
Ni heri kijana ujiajiri, kuna vijana wengi sana hii nchi wamejiajiri wana uhakika wa kuingiza wastani wa milioni 1 kila mwezi .
Ni heri kijana ufanye biashara, huku kuna matajiri vijana wanapiga mkwanja sio kitoto japo panahitaji uvumilivu wa kuzijua changamoto na kujenga network yako,
Ni heri kijana ujikite na siasa, vijana wengi wanaendesha maisha kwa siasa, hakuna jambo la kujionea aibu kuwa mwanasiasa ila ni chaguzi yako itakuweka uwe mwasaiasa mzuri ama mbaya katika maslahi ya jamii
Unganisha wasanii na wanamichezo wote hapa Tanzania hawazidi 900 wanaoweza kutegemea kazi zao kuendesha maisha yao, Mbaya zaidi uchumi wa wanamichezo hao huwa mashakani wakistaafu wakiwa bado vijana wenye miaka 38 tu nao wasanii mfano bongo fleva kuna kipindi wanahit lakin baada ya hapo wanaipotea kabisa na mifano ni mingi.
Ni heri kijana usome uje ujaribu bahati kwenye ajira serikalini hata private kuna watanzania zaidi ya laki 1 wanaingiza milioni na kuendelea kila mwezi, ni pesa ambayo ukiji manage vizuri itakutosha walau uwe na maisha ya wastan
Ni heri kijana ujiajiri, kuna vijana wengi sana hii nchi wamejiajiri wana uhakika wa kuingiza wastani wa milioni 1 kila mwezi .
Ni heri kijana ufanye biashara, huku kuna matajiri vijana wanapiga mkwanja sio kitoto japo panahitaji uvumilivu wa kuzijua changamoto na kujenga network yako,
Ni heri kijana ujikite na siasa, vijana wengi wanaendesha maisha kwa siasa, hakuna jambo la kujionea aibu kuwa mwanasiasa ila ni chaguzi yako itakuweka uwe mwasaiasa mzuri ama mbaya katika maslahi ya jamii