Hata huku ni kimyaaaaaa jamani raisi hata watu hawafurahiiii tatizo sio maguful tatizo ni ccm
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
kweli wazimu n fani!; ukumbuke Mwenyezi alipo iangamiza dunia kwa moto kisha kwa maji kulikuwa na watu kama wewe walio wanenea wajumbe wa mwenyezi kwamba; wanawaletea majungu! ndio sababu mwenzio katahadharisha,ni kwa wale wenye imani, na si kwa makafiro! sawa eeh?mtu anayependa majungu hawezi kuwa na furahan, Majungu yote UKAWA