Hizi demokrasia uchwara baadhi ya ubaya wake ndio kama hivi.............yaani Walipa kodi sasa itabidi waingie gharama za uchaguzi mdogo eti kwasababu NCCR imemfukuza Kafulila uanachama............damn!.........
Fundamental right ya wananchi waliomchagua Kafulila iko wapi?......
Fundamental right ya wananchi waliomchagua Kafulila iko wapi?......