Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
kesi ya kupinga matokeo ya ubunge katika jimbo la babati vijijini ,dhidi ya mbunge wake mwenye asili ya kisia ,Jitu son mahakama imetoa hukumu ya kubariki ubunge na kumpiga chini mlalamikaji kutoka chama cha NCCR mageuzi