NCCR wameipa serikali siku 90 kuwa imeunda tume huru ya uchaguzi vinginevyo itaiburuza mahakamani kwani tume iliyopo sasa inakipendelea Chama Cha Mapinduzi.
Kama ni kweli indeed it will be a come back of NCCR na ni heshima kubwa .I will salute you NCCR na tafadhali fanyeni kweli maana hili ndilo chaka la CCM kujibanza na kujifanya wanashinda kwa kishindo.
Naomba pia waombe matangazo ya Rais na kukimbilia kuapishwa kuwe baada ya mwezi toka Uchaguzi ili watu tujiridhishe .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.