Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Hawa NBC ni kweli wana matawi nchi nzima na mashine zao zinaccept visa card japo atm card zao sio visa!
Nilienda kwenye branch yao ya mlimani city siku ya jumapili (inakuwa wazi) nilitaka kudraw 1.5m nilichukua tahadhari zote kama vile kwenda na balance niliyoipata baada ya kukaa kwenye folen ya ATM. kufika dirishani baada ya foleni ndefu sana yule teller (mmama) akaniambia 'samahani branch uliyofungulia account ni ubungo na leo hawafungui so hatuwezi kukuhudumia' nikamuuliza kwa nn? akajibu kudraw nje ya branch yako lazima watutumie fax kwanza, SIJUI HATA FAX YA NINI MUNGU WANGU WAKATI SIKUMTUMA MTU, BALANCE YA THAT TIME NINAYO CAD NINAYO NILIKUWA FULL!
Nikaondoka nikarudi nyumbani mpoole, na jamaa niliyekuwa nimeenda kumchukulia hiyo cash akaniona mwongo. NISIANDIKE SAANA
Nilienda kwenye branch yao ya mlimani city siku ya jumapili (inakuwa wazi) nilitaka kudraw 1.5m nilichukua tahadhari zote kama vile kwenda na balance niliyoipata baada ya kukaa kwenye folen ya ATM. kufika dirishani baada ya foleni ndefu sana yule teller (mmama) akaniambia 'samahani branch uliyofungulia account ni ubungo na leo hawafungui so hatuwezi kukuhudumia' nikamuuliza kwa nn? akajibu kudraw nje ya branch yako lazima watutumie fax kwanza, SIJUI HATA FAX YA NINI MUNGU WANGU WAKATI SIKUMTUMA MTU, BALANCE YA THAT TIME NINAYO CAD NINAYO NILIKUWA FULL!
Nikaondoka nikarudi nyumbani mpoole, na jamaa niliyekuwa nimeenda kumchukulia hiyo cash akaniona mwongo. NISIANDIKE SAANA