After this, I think James will go to Miami. Congratulations Heat.
Hebu Msomeni huyu Majority owner wa Cleveland Cavs alivyomwaga sumu baada ya LeBron James kuanza mbele na kujiunga na Miami Heat.
Alitegemea jamaa kuendeleza uzalendo bila kupata ring~ila jamaa kweli kaamua, ku-turn down like $120M na kwenda kupata kama inavyosemekana less than $100M sio mchezo, the guy is dying for a ring. Well hiyo difference ya $$ atai-make up kwenye matangazo ya NIKE na mengineyo.Sour grapes
Jamaa is so bitter for nothing. Mtu akiwa free agent hana tena responsibility na mwajiri wake wa zamani. Ni mambo ya kunegotiate tu contract mpya au mtu anaanza mbele. Sielewi alitegemea jamaa abaki Ohio kwa minajili ipi??
Alitegemea jamaa kuendeleza uzalendo bila kupata ring~ila jamaa kweli kaamua, ku-turn down like $120M na kwenda kupata kama inavyosemekana less than $100M sio mchezo, the guy is dying for a ring. Well hiyo difference ya $$ atai-make up kwenye matangazo ya NIKE na mengineyo.
Sour grapes
Jamaa is so bitter for nothing. Mtu akiwa free agent hana tena responsibility na mwajiri wake wa zamani. Ni mambo ya kunegotiate tu contract mpya au mtu anaanza mbele. Sielewi alitegemea jamaa abaki Ohio kwa minajili ipi??
"I PERSONALLY GUARANTEE THAT THE CLEVELAND CAVALIERS WILL WIN AN NBA CHAMPIONSHIP BEFORE THE SELF-TITLED FORMER 'KING' WINS ONE"
Sie wapenzi wa kikapu tunataka action tu, hiyo mambo mingine yakuanza kupakana thats bitching..
el Heat ? lolnahamia MIAMI HEAT next season LOL..........lazima tuchukue title....KING,WADE,BOSH.......dream team hio......