Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,230
- 2,197
- Thread starter
- #21
Kuna freys inaishia shinyanga ila sina uhakika kama bado ipo
mmh
Kuna freys inaishia shinyanga ila sina uhakika kama bado ipo
Nakula pweza kwaajiri ya kuburudika kama navyokula tu nyama yoyote na wala pweza wote ni hivyo hii nguvu za kiume ni extra tuMwanza wanazo nguvu za kiume za kutosha hawahitaji hayo mapweza,hupati soko
Mwanza hakuna shida ya NGUVU ZA KIUMEWauza pweza wa mikoani nipeni ushauri
Niweze kuwasaidia vijana waweze kubust nguvu za kiume
Yeah hakuna gari ya moja kwa moja Kutoka Tanga kwenda mwanzaInafika shinyanga mzigo wangu utaharibika
Arusha wapo,dodoma wapoKama mkoa gani na eneo gani mkuu?
Wanawekaga tu kwenye makoki yaleHapo ni usafirishe kwa ndege, wawahi kufika au usafirishe kwa gari za jokofu ila hapa inabidi uwe na mzigo wa kutosha, kucover gharama za usafiri.
Wanawekaga tu kwenye makoki yale
(Mabox ya yaliotengenezwa na mbao)
Ndani unatupia barafu
Au atafute majaba makubwa ya plastic awaweke ndani pamoja na barafu za kutosha
Ova
Arusha wapo,dodoma wapo
Kweli tatizo kubwa hata wasukuma mashine zimeanza kuleta shida ndio kanda pekee waliokuwa wamebaki
Mwanza hakuna shida ya NGUVU ZA KIUME
hao pweza peleka Arusha.
Unawakausha juani wanakauka kaukau kabisa km wanavyokaushwa Samaki wabichi au dagaa wabichi ndio unasafiri nao bila hivyo jiandae kubeba mizoga au tumia usafiri wa Ndege km wanavyofanya wafanyabiashara wa Samaki wabichi kusafirisha kutoka Mwanza kuja Dar,Wakuu nataka nianzishe biashara ya pweza mwanza!
Nimezunguka huku hakuna kabisa hii biashara!!
Changamoto ni kuwasafirisha!
Nimeishi lindi kule pweza ni bei rahisi sana tofauti na dar!!
wafanyabiashara wa pweza mikoani nipeni uzoefu
Hayo makamba si hatuyalagi jamani. Wasituletee mambo ya pwani huku kwetu bara. Mwishowe watatuletea urojo, sijui supu ya bamia. WatuacheeSijawahi kuona pweza kanda ya ziwa. Hata dagaa kamba pia sijawai kuwaona pande zile.
Hayo makamba si hatuyalagi jamani. Wasituletee mambo ya pwani huku kwetu bara. Mwishowe watatuletea urojo, sijui supu ya bamia. Watuachee
Hayo makamba si hatuyalagi jamani. Wasituletee mambo ya pwani huku kwetu bara. Mwishowe watatuletea urojo, sijui supu ya bamia. Watuachee
Unawakausha juani wanakauka kaukau kabisa km wanavyokaushwa Samaki wabichi au dagaa wabichi ndio unasafiri nao bila hivyo jiandae kubeba mizoga au tumia usafiri wa Ndege km wanavyofanya wafanyabiashara wa Samaki wabichi kusafirisha kutoka Mwanza kuja Dar,
Pweza siku ya pili TU anaanza kunuka na ananuka hatari nilishawahi kusafirisha Ila nilikula hasara nikagawa walio na uchu wa pweza hawakujari km ameoza walikula hivyo hivyo
Nimekwambia wakaushe aidha kwa Jua au kwa moto Ila hakikisha hawana majimajiAu wakaangwe kwanza
Dodoma nilikua ugali na rosti ya pwezaKwani kuna mkoa tofauti na mikoa ya pwani ambao kuna wauza pweza??