Nawezaje kuongeza salio kwenye kadi yangu ya UDART?

majany

JF-Expert Member
Sep 30, 2008
1,223
579
Habari za leo wana jamii.
Mimi ni mtumiaji sana wa huu usafiri wa mwendo kasi,na nalipia nauli kupitia kadi zao(dart card).
Mara ya mwisho nilikua naweza kufanya top up kupitia airtel money,lakini kwa sasa airtel wameitoa hiyo option.Naomba mwenye kujua namna tofauti ya kulipia kwa sasa ni ipi?kwa kuwa kulipia kwa cash inapoteza muda sanaaaa na unapata taabu sanaaaa...

Asanteni.
 
Sio tuu option ya airtel money, hata pale dirishani kwao huwezi kufanya Top up, sijui nini kimewakumba
Over
Mradi umeshakufa huu unasubiri kuzikwa. Toka mwezi wa sita hamna huduma ya kadi vituoni ma siku hizi ni mwendo wa kuchana tiketi yaani tiketi za vishina. Mageti hayana kazi tena.
 
Siku hizi wamechoka tangu wawatoe Max com

Ukifika pale Getini Mlinzi anachana kadi Kwa Mkono badala ya kuipapasisha kwenye Mashine Kwa ajili ya kumbukumbu
 
Unaweza kuongeza mkuu. Ila jipange kujitibu TB. Kwanini usipande daladala la Buguruni mia5 halafu ukapande Bug. ...town mia 4 jumla mia 9 kuliko U DIRTY 1050 ?
 
Piole kwa usumbufu ndugu. Ni kweli kwa sasa hakuna huduma ya kuongeza salio kwenye madirisha yetu ya kuuzia tiketi. Suala hilo linafanyiwa kazi na wataalamu wa IT muda si mrefu huduma itarejea na pia mageti yataanza kufanya kazi. Subira huvuta heri.

Na ni kweli pia kwamba kwa sasa Airtel Money wameondoa option ya DART, lakini unaweza kuongeza salio kupitia Tigo Pesa na M-Pesa kwa kuingia kwenye huduma za fedha, kisha unachagua lipia bili, halafu ingiza namba ya kampuni ambayo ni 339933; kisha ingiza zile tarakimu 14 au 12 zilizopo kwenye kadi yako ya Usafiri wa Mwendokasi, weka kiwango unacholipa na namba yako ya siri; taayri unakuwa umeongeza salio.

Pole sana kwa usumbufu unaojitokeza.

PR/Media Department, UDART
Habari za leo wana jamii.
Mimi ni mtumiaji sana wa huu usafiri wa mwendo kasi,na nalipia nauli kupitia kadi zao(dart card).
Mara ya mwisho nilikua naweza kufanya top up kupitia airtel money,lakini kwa sasa airtel wameitoa hiyo option.Naomba mwenye kujua namna tofauti ya kulipia kwa sasa ni ipi?kwa kuwa kulipia kwa cash inapoteza muda sanaaaa na unapata taabu sanaaaa...

Asanteni.
 
Piole kwa usumbufu ndugu. Ni kweli kwa sasa hakuna huduma ya kuongeza salio kwenye madirisha yetu ya kuuzia tiketi. Suala hilo linafanyiwa kazi na wataalamu wa IT muda si mrefu huduma itarejea na pia mageti yataanza kufanya kazi. Subira huvuta heri.

Na ni kweli pia kwamba kwa sasa Airtel Money wameondoa option ya DART, lakini unaweza kuongeza salio kupitia Tigo Pesa na M-Pesa kwa kuingia kwenye huduma za fedha, kisha unachagua lipia bili, halafu ingiza namba ya kampuni ambayo ni 339933; kisha ingiza zile tarakimu 14 au 12 zilizopo kwenye kadi yako ya Usafiri wa Mwendokasi, weka kiwango unacholipa na namba yako ya siri; taayri unakuwa umeongeza salio.

Pole sana kwa usumbufu unaojitokeza.

PR/Media Department, UDART
Asante kwa msaada,lakini ni bora hizo options zikawekwa kwenye vituo vyenu ili kutoa msaada wa malekezo,kwa sababu hata hao mnaowaweka kwenye vibanda hawana ufahamu huu.
 
Habari za leo wana jamii.
Mimi ni mtumiaji sana wa huu usafiri wa mwendo kasi,na nalipia nauli kupitia kadi zao(dart card).
Mara ya mwisho nilikua naweza kufanya top up kupitia airtel money,lakini kwa sasa airtel wameitoa hiyo option.Naomba mwenye kujua namna tofauti ya kulipia kwa sasa ni ipi?kwa kuwa kulipia kwa cash inapoteza muda sanaaaa na unapata taabu sanaaaa...

Asanteni.
nimejaribu mie tumia 339933 ndo namba yao mpya! utafurah! nimejaribu kwa voda imejaza! usiende UDART we chagua malipo halafu weka namba
 
Piole kwa usumbufu ndugu. Ni kweli kwa sasa hakuna huduma ya kuongeza salio kwenye madirisha yetu ya kuuzia tiketi. Suala hilo linafanyiwa kazi na wataalamu wa IT muda si mrefu huduma itarejea na pia mageti yataanza kufanya kazi. Subira huvuta heri.

Na ni kweli pia kwamba kwa sasa Airtel Money wameondoa option ya DART, lakini unaweza kuongeza salio kupitia Tigo Pesa na M-Pesa kwa kuingia kwenye huduma za fedha, kisha unachagua lipia bili, halafu ingiza namba ya kampuni ambayo ni 339933; kisha ingiza zile tarakimu 14 au 12 zilizopo kwenye kadi yako ya Usafiri wa Mwendokasi, weka kiwango unacholipa na namba yako ya siri; taayri unakuwa umeongeza salio.

Pole sana kwa usumbufu unaojitokeza.

PR/Media Department, UDART
Nyie UDART,MMEANZA TENA UBABAISHAJI.....HII NJIA YA KUONGEZA SALIO KWENYE KADI,LEO SIKU YA TATU HAIKUBALI....MNA NINI NYIE????
 
Piole kwa usumbufu ndugu. Ni kweli kwa sasa hakuna huduma ya kuongeza salio kwenye madirisha yetu ya kuuzia tiketi. Suala hilo linafanyiwa kazi na wataalamu wa IT muda si mrefu huduma itarejea na pia mageti yataanza kufanya kazi. Subira huvuta heri.

Na ni kweli pia kwamba kwa sasa Airtel Money wameondoa option ya DART, lakini unaweza kuongeza salio kupitia Tigo Pesa na M-Pesa kwa kuingia kwenye huduma za fedha, kisha unachagua lipia bili, halafu ingiza namba ya kampuni ambayo ni 339933; kisha ingiza zile tarakimu 14 au 12 zilizopo kwenye kadi yako ya Usafiri wa Mwendokasi, weka kiwango unacholipa na namba yako ya siri; taayri unakuwa umeongeza salio.

Pole sana kwa usumbufu unaojitokeza.

PR/Media Department, UDART

Je kwenye Maxmalipo mlishaondoa hiyo huduma?
 
Back
Top Bottom