Naweza kuweka mfumo huu kutumia media com receiver ?

willy ze great

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
1,026
1,179
Wakuu yani nahisi kama naota jirani yangu kanunua receiver ya star gold na dish lake 170000 lakini channel anazopata duh! yaani kwa macho yangu kile kidishi kidogo channel zote za TZ hadi Clouds TV, DW, bein ila sio sport ,DUCE, MNET, na nyingine nyingi.

Yaani kombe la dunia kuna channel kama 30 zinaonesha daah nimeashangaa sana. Nikajiuliza na mim niweke kama yeye ila natumia media com receiver hivi inaweza kikubali?
 
muulize satellite anayotumia na pia mahali alipo Kwa sababu satellite zina ukomo wake mfano zipo channel toka afrika ya kusini zinaishia kusini kabisa mwa tanzania
 
wakuu mimi natumia amos5. hapa ninapata chanel za continental pamoja na chanel nyingi sana za africa magharibi na ndizo zenye mipira. ukipata fundi mzuri atakuwekew ku 2 hivyo utaipata amos5 ;ses5 na eutelsat na unakuwa full kuinjoi kaka.mimi dish kubwa silitumii kwa sasa.najuta kuchelewa kununua dish dogo maana ni raha tupu.angalizo lazima utumie receiver ya mpg4
 
Hiyo kuwa na receiver ya hd mpeg 4 na dish la ku cm 120 utafurahi mwenyewe zote hizo utazipata na nyingine zaidi kuliko zake
 
amos5 ;ses5 na eutelsat

Hizi Sat(amos5 ;ses5 na eutelsat) zote zinapatikana kwenye Kadishi kamoja!? Au Vidish inabidi viwe kama Vitatu!?

Je! Ni Mpeg4 Ipi Nzuri na kwa bei Nzuri!????
 
wakuu mimi natumia amos5. hapa ninapata chanel za continental pamoja na chanel nyingi sana za africa magharibi na ndizo zenye mipira. ukipata fundi mzuri atakuwekew ku 2 hivyo utaipata amos5 ;ses5 na eutelsat na unakuwa full kuinjoi kaka.mimi dish kubwa silitumii kwa sasa.najuta kuchelewa kununua dish dogo maana ni raha tupu.angalizo lazima utumie receiver ya mpg4

unalipia bei gani kwa mwezi?
Gharama nzima ya installation bei gani?
unapata jumla ya channel ngapi za michezo ya ligi kuu ya Uingereza?
 
wakuu mimi natumia amos5. hapa ninapata chanel za continental pamoja na chanel nyingi sana za africa magharibi na ndizo zenye mipira. ukipata fundi mzuri atakuwekew ku 2 hivyo utaipata amos5 ;ses5 na eutelsat na unakuwa full kuinjoi kaka.mimi dish kubwa silitumii kwa sasa.najuta kuchelewa kununua dish dogo maana ni raha tupu.angalizo lazima utumie receiver ya mpg4

Shukrani Mkuu! Mimi Fundi alishindwa kubalance amos5 na eutasat 16 na hata nilipomuomba aniwekee eutasat alishindwa eutasat ndio kuna channel za mpira na pia ses 5
 
Hapo dawa huwa tunatumia dish 6ft unanasa irib pale arabsat unaongeza hizo ku kwa Amos5, Eutelsat 16, astrac28e hapo utapata channels km 28 ikiwepo tv3 Ghana hii na irib ni full mipira including epl lkn decoda iwe na uwezo wa kuedit key make irib na tv3 zinafunguka kwa biss key
 
Hapo dawa huwa tunatumia dish 6ft unanasa irib pale arabsat unaongeza hizo ku kwa Amos5, Eutelsat 16, astrac28e hapo utapata channels km 28 ikiwepo tv3 Ghana hii na irib ni full mipira including epl lkn decoda iwe na uwezo wa kuedit key make irib na tv3 zinafunguka kwa biss key

Ni kweli ft6 linatosha kupata hizo Ku zote pamoja na IRIB.Vipi umeshajaribu kuongeza SES5 au Eutelsat7e ilipo azam? Nataka kujaribu hii setup ili nipate fta za kutosha.
 
SES5 sijaijaribu nadhani hii satellite siku hizi haina jipya tofauti na kbc

SES5 kuna Russia Today ni nzuri kwa habari pia upande wa Azam 7E kuna channel za Zambia ni nzuri sana.Kuna umuhimu wa kuongeza LNB kwa ajili ya hizi channel.
 
Start gold hiyo haina mwez kam zingin,make ulivyo sema mpira nimeipend san hiyo receiver
 
Hapo dawa huwa tunatumia dish 6ft unanasa irib pale arabsat unaongeza hizo ku kwa Amos5, Eutelsat 16, astrac28e hapo utapata channels km 28 ikiwepo tv3 Ghana hii na irib ni full mipira including epl lkn decoda iwe na uwezo wa kuedit key make irib na tv3 zinafunguka kwa biss key
mkuu dish la futi 3 halifai?na bei ya receiver itakayowezesha kuangalia hizo channel ni shiling ngap?
 
mkuu dish la futi 3 halifai?na bei ya receiver itakayowezesha kuangalia hizo channel ni shiling ngap?

Hilo la ft3 utapata nyingine irib hutopata maana iko cband kuhusu receiver hata hizi tunazotumia kuchakachua dstv km qsat11g,13g,15g na qsat 23g bei zake ni kati ya 200k-250k pia hizi
 
Hilo la ft3 utapata nyingine irib hutopata maana iko cband kuhusu receiver hata hizi tunazotumia kuchakachua dstv km qsat11g,13g,15g na qsat 23g bei zake ni kati ya 200k-250k pia hizi

kwa hiyo hili la fut3 cwez kupata hata chanel moja inayorusha game mbili za epl kwa wiki?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom