kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 383
- 474
Sory kwa kuchanganya mada wadau kuna mtu yyt humu ndani na anaepatikana jijini dar es salaam anaejua wapi naweza kupata nyumba ya kupanga
Vigezo
Vyumba 2+
Viwe na tiles
Sebule kubwa
Mwenye nyumba asiwe anaish hapo
Awe anachukua kodi kuanzia miezi 4+
Iwe katika wilaya zifuatazo
Ubungo temeke na kinondoni
Kama yupo ani pm plz
Vigezo
Vyumba 2+
Viwe na tiles
Sebule kubwa
Mwenye nyumba asiwe anaish hapo
Awe anachukua kodi kuanzia miezi 4+
Iwe katika wilaya zifuatazo
Ubungo temeke na kinondoni
Kama yupo ani pm plz