Mkuu jamaa yupo serious wewe unafanya masihara, umenichekesha sana.Kama duniani tunapita, kwanini ujenge njiani...
Ukijipanga inawezekanaWakuu naombeni ushauri nimeajriwa na nalipwa mshahara wa laki tatu kwa mwezi Nina ndoto za kununua kiwanja na kujenga pia
Naombeni ushauri nifanye nini au kitu gani nizingatie niweze kufikia lengo. Kwasababu mshahara huu ndio nautegemea kwa Kila kitu.
Hahaha kubabeqUnaweza kujenga tena ndani ya mwezi tu
Kufuga kuku inahitaji uanze na banda dogo kwanza hata la elfu 30,kadri mtaji unavokua mkubwa unaongeza banda lako
Notifications ambazo zinakuhusu.
1.Ubahili liked your post.
2.Madonda ya tumbo has quoted your post
Laki mbili amekwatwa kodi au kabla ya kodi na michango ya kijamii?Hajazema hizo ndoto anataka zitimie baada ya miaka mingapi.
Akiweka akiba ya laki 2 kila mwezi na kujibana kwa miaka 2 mbona anunua kiwanja na kuanza ujenzi wa nyumba ndogo nje ya mji.
Kama duniani tunapita, kwanini ujenge njiani...
Kujenga ni kama kufanya booking ya siti kwa basi la mkoani. Yani wakati tunasafiri uwe na siti yako umetulia, mtashuka kuchimba dawa utarudi kwenye siti yako, dereva anaweza fukia shimo( umepitia changamoto nyingine za kimaisha) upo kwenye siti yako.Kama duniani tunapita, kwanini ujenge njiani...
ExactlyKujenga ni kama kufanya booking ya siti kwa basi la mkoani. Yani wakati tunasafiri uwe na siti yako umetulia, mtashuka kuchimba dawa utarudi kwenye siti yako, dereva anaweza fukia shimo( umepitia changamoto nyingine za kimaisha) upo kwenye siti yako.
Ndo maana ukifika mwisho wa safari, ushuki hata na uchafu ambao ulikuwa unatumia safarini unaachia kwa Dustybin..
Unaelewa maana ya maswali ?Acha kumkatisha mwenzako tamaa na mawazo yako ya kizinzi .
Katika maelezo yake hajasema kama ana familia.
Walokole hawapayuki, wananena kwaAmemkatisha tamaa wapi?
Halafu watu kama nyie unakuta ni mlokole hakuna unachojua kwenye maisha zaidi ya kupayuka usiku kufukuza wachawi.
Hapa duniani tunapita,kwanini ujenge barabarani?Wakuu naombeni ushauri nimeajriwa na nalipwa mshahara wa laki tatu kwa mwezi Nina ndoto za kununua kiwanja na kujenga pia
Naombeni ushauri nifanye nini au kitu gani nizingatie niweze kufikia lengo. Kwasababu mshahara huu ndio nautegemea kwa Kila kitu.