Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Wakuu wale jamaa wa beforward wanasema watu wengi toka tz wanaagiza magari toka kwao bila kulipa gharama za kukagua gari. Hivi nini effect yake? Naweza kutakiwa kulipa insepection gari ikifika bongo?
Nijuavyo mimi kama gari halina kadi ya inspection au MOT kwa watu wa UK, basi inabidi file lako liende viwango-Ubungo ambao ndio wanatakiwa waje kulikagua. Kuna gharama pamoja na faini halafu ni usumbufu - hii process bila kutoa kinachoitwa zawadi siku hizi inaweza kuchua zaidi ya wiki.
nop you can order without insepction bwana haina shida wala