Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
MrogeAisee jamaa nimemkabidhi kabisa 250000 then anakuja kunikana. I will slaught him
MrogeAisee jamaa nimemkabidhi kabisa 250000 then anakuja kunikana. I will slaught him
HahahaMimi wananikeraga sana, kuna mmoja alinizungusha milioni 2 yangu mwaka mzima, nikaachana nae.., wajinga sana
Binadamu wa sasa hawana ubinadamu kabisa.Mimi wananikeraga sana, kuna mmoja alinizungusha milioni 2 yangu mwaka mzima, nikaachana nae.., wajinga sana
Dah pole sana ila umefika mbali sana kuuwa ujue inawezekana kabisa anafanya hivyo sababu ya maisha yalivyo magumu
Samehe saba mara sabini. Ila ni kwa msaada wa Mungu kwa kweli.
Yesu ni Kristo
250, 000/ hadi kisu?
Damu ni nzito kuliko hiyo laki 2 nenda ukachinje sasaInabidi umlipe huyo jamaa hiyo hela.
Huwezi kula pesa mwanaume kirahisi
Kisasi ni cha Bwana. Pesa makaratasi. Hatukuja na kitu duniani na hatutoondoka na kitu. Mpende adui yako, uwaombee wanaokuudhi. Na hii ndio Injili.Nitasamehe siku nikilipiza kisasi. Unajua maumivu ya kudhulumiwa? Binadamu wa sasa wana viburi na dharau.
Huyo binti utakuwa unamwonea, mle yeye mwenyewe huyo mama! Hakikisha unamkunja mpaka miguu yake iguse paji la uso wake!!Me pia kuna mama aliniomba nimkopeshe 100000, lakin kila siku ananipiga tarehe mpaka nimeamua kupotezea.
Ila ana binti mzuri sana, nimepanga siku moja nimle kimasihara, nadhani ndio itakuwa Revenge yangu.
Hiyo pesa kesha itumia na hajabadilika, ni kheri ukamuacha tu Mungu atakulipa na atamhukumu yeye kwa maovu yake nawe atakuzidishia mara elfu.Aisee jamaa nimemkabidhi kabisa 250000 then anakuja kunikana. I will slaught him
Njoo pm nikupe uchawi ambao sijaifanyia testing ukajaribu tuone kama unafanya kazi, ukileta mrejesho chanya ndo nimnyooshe mbaya wangu!!
Damu ni nzito kuliko hiyo laki 2 nenda ukachinje sasa
Hiyo pesa kesha itumia na hajabadilika, ni kheri ukamuacha tu Mungu atakulipa na atamhukumu yeye kwa maovu yake nawe atakuzidishia mara elfu.