Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
-Kwa mtu yeyote mwenye kutafakari maswala kwa undani, utaona umuhimu wa kuisikiza hoja na hata kuwaunga mkono hoja ya wana UAMSHO kuitaka Zanzibari kujitenga kutoka kwenye muungano. Kosa wanalofanya UAMSHO ni kuliingiza hii hoja kwenye kivuli cha UDINI. Mimi kama mtanzania bara, sioni sababu yoyote ya kuwakandamiza hawa wazanzibari kubaki kwenye muungano. Waachwe waende zao.
-Kwanza Zanzibar inaionyonya Tanzania bara. Ni sehemu ndogo sana kulinganisha na mikoa mingine kama Shinyanga, Mwanza Kilimanjaro na NK, ila wana serikali yao, na kila kitu chao hadi na bunge. Kwa nini Mwanza wasiwe na Bunge?
-Badala ya kuwa ngangari kuwapiga mabomu, wasikilizeni hawa watu, ikiwa hawautaki muungano waacheni waende zao. Ramani ya Tanzania itabaki pale pale. Kwanza hakuna mtanzania anayeruhusiwa kununua ardhi Zanzibar na wafanyakazi wengi kule ni Wakenya
Nawakilisha
---------------------------------
Edward Lowassa for president 2015
-Kwanza Zanzibar inaionyonya Tanzania bara. Ni sehemu ndogo sana kulinganisha na mikoa mingine kama Shinyanga, Mwanza Kilimanjaro na NK, ila wana serikali yao, na kila kitu chao hadi na bunge. Kwa nini Mwanza wasiwe na Bunge?
-Badala ya kuwa ngangari kuwapiga mabomu, wasikilizeni hawa watu, ikiwa hawautaki muungano waacheni waende zao. Ramani ya Tanzania itabaki pale pale. Kwanza hakuna mtanzania anayeruhusiwa kununua ardhi Zanzibar na wafanyakazi wengi kule ni Wakenya
Nawakilisha
---------------------------------
Edward Lowassa for president 2015