LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Habari zenu binafsi wapendwa, kaka,dada, baba,mama,babu/bibi.
Hongereni kwa kumaliza weekend salama, natumaini ilikuwa nzuri, hata kwa wale ambao haikuwa nzuri kama walivyotarajia poleni ila la msingi tunamshukuru Mungu kwa sababu bado uzima upo.
Nawapongeza wale wote waliopata nafasi ya kushiriki mlo na familia zao, wale waliolewa kupita kiasi weekend ijayo mpunguze, wale waliotongoza wengine kwa dharau muache, wale waliotakiwa kwenda kanisani halafu hawekwenda mbadilike. Wale waliogongwa poleni, wale wanaopenda sana pepsi/coca mpunguze ikiwezekana pata mvinyo kidogo tu kwa afya.
Haya nawatikieni furaha, amani, na nguvu za kufanya kazi wiki nzima hii. Malengo yenu yatimie na yafanikiwe kwa kiwango cha juu.
MBARIKIWE.
Hongereni kwa kumaliza weekend salama, natumaini ilikuwa nzuri, hata kwa wale ambao haikuwa nzuri kama walivyotarajia poleni ila la msingi tunamshukuru Mungu kwa sababu bado uzima upo.
Nawapongeza wale wote waliopata nafasi ya kushiriki mlo na familia zao, wale waliolewa kupita kiasi weekend ijayo mpunguze, wale waliotongoza wengine kwa dharau muache, wale waliotakiwa kwenda kanisani halafu hawekwenda mbadilike. Wale waliogongwa poleni, wale wanaopenda sana pepsi/coca mpunguze ikiwezekana pata mvinyo kidogo tu kwa afya.
Haya nawatikieni furaha, amani, na nguvu za kufanya kazi wiki nzima hii. Malengo yenu yatimie na yafanikiwe kwa kiwango cha juu.
MBARIKIWE.