Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Tukielekea siku ya mwisho ya 2023
nipende kuwaomba radhi wote niliowakosea humu kwa kujibu vibaya ama kuwaumiza machoo kwa mwandiko mahiriiwakithailogia ulitupa na kama......
bila kuwasahau wale tuliojibishana vibaya tukapatana nanyi nimewasamehe pia
aisha kama binadamu nami nimewasamehe ......
2024 n mwaka wa maongezeko pengjne ulikuwa na mawazo mazuri haha kutumia 2023 basi 2024 n mwaka wa zaidi ya yale uliofikiria 2023
napenda niwatakie jpili njemaaa wote msiache kwenda kanisani na mkeshaa usiku tukimshukuru Munguu kwa yote aliotutendea 2023
binafsi ntakuwa pale kawe tanganyika Packers kumalizia mwakawangu na maombi 12
With 2024
Tupendane tukiwahai...nisiaccheee kuwapa pole pia wale wote waliopoteza ndugu zao humu 2023 kama members Mungu akawe mfariji wenu tuwee karibu na Mungu sisi tuliobakia si ombi.....
GODBLESS U ALL God bless Admins n others
HAPPYNEWYR N ADV
nipende kuwaomba radhi wote niliowakosea humu kwa kujibu vibaya ama kuwaumiza machoo kwa mwandiko mahiriiwakithailogia ulitupa na kama......
bila kuwasahau wale tuliojibishana vibaya tukapatana nanyi nimewasamehe pia
aisha kama binadamu nami nimewasamehe ......
2024 n mwaka wa maongezeko pengjne ulikuwa na mawazo mazuri haha kutumia 2023 basi 2024 n mwaka wa zaidi ya yale uliofikiria 2023
napenda niwatakie jpili njemaaa wote msiache kwenda kanisani na mkeshaa usiku tukimshukuru Munguu kwa yote aliotutendea 2023
binafsi ntakuwa pale kawe tanganyika Packers kumalizia mwakawangu na maombi 12
With 2024
Tupendane tukiwahai...nisiaccheee kuwapa pole pia wale wote waliopoteza ndugu zao humu 2023 kama members Mungu akawe mfariji wenu tuwee karibu na Mungu sisi tuliobakia si ombi.....
GODBLESS U ALL God bless Admins n others
HAPPYNEWYR N ADV