Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
ahhh historia gani unazungumzia?Alhamdulullaah, nadhani imekuwa ni historia katika uislam, kufunga pamoja na kula Eid pamoja, huu ni muunganiko alioupanga Mwenyezimungu
wenzio SHIA BOHORA leo wamekula EID wao wanahesabu Tarehe badala ya Mwezi
all in all hata wale ANSAR kesho ngoma droooo
Hata lile baraka kuuu la waislam Tanzania (BAKWATA) hawajatia neno juu ya hili kwani zama za internet zimewapita kabisa
Last edited by a moderator: