Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
Nimerudi tena na shukrani zangu za dhati kwenu MMU,
Bila shaka mliosomaga mada yangu ya nyuma mnanikumbuka sana, nimerudi kumishukuruni nyooote mliochangia mawazo yenu ukweli mlinifariji, mmenijenga, mmenifundisha na mmenipa akili ukweli ni kwamba mawazo yangu peke yake hayakuwa yamenitosha ndio maana nikaja kwenu mniongezee fikra na kweli hamkusita kweli nimekubali jf ni mwisho wa matatizo na nikisima cha magret thinker mbarikiwe sana.
kutokana na mawazo yenu nyoote nimekubali kumshirikisha atakae kuja kuwa mzazi mwenzangu lile swala la kubeba ujauzito bila kumkimbia na hapa nilipo waouuuuuuuuuuuuuuhh tayari kitu ndani ya box am going to be a m o t h e r am more tha happy sijui niwaelezeje ila mzidi kubarikiwa na nikija tena na machungu mengine msisite kunishauri na washukuru pia wote mlio ni pm mlinipa faraja kubwa sana wallah, ila msijali sana maana wengi wenu au karibia wote sikuwajibu kwa sababu akili ilikuwa kaa siyo yangu ila kwasasa mni pm nitawajibu.
ni mimi proud mother
Bila shaka mliosomaga mada yangu ya nyuma mnanikumbuka sana, nimerudi kumishukuruni nyooote mliochangia mawazo yenu ukweli mlinifariji, mmenijenga, mmenifundisha na mmenipa akili ukweli ni kwamba mawazo yangu peke yake hayakuwa yamenitosha ndio maana nikaja kwenu mniongezee fikra na kweli hamkusita kweli nimekubali jf ni mwisho wa matatizo na nikisima cha magret thinker mbarikiwe sana.
kutokana na mawazo yenu nyoote nimekubali kumshirikisha atakae kuja kuwa mzazi mwenzangu lile swala la kubeba ujauzito bila kumkimbia na hapa nilipo waouuuuuuuuuuuuuuhh tayari kitu ndani ya box am going to be a m o t h e r am more tha happy sijui niwaelezeje ila mzidi kubarikiwa na nikija tena na machungu mengine msisite kunishauri na washukuru pia wote mlio ni pm mlinipa faraja kubwa sana wallah, ila msijali sana maana wengi wenu au karibia wote sikuwajibu kwa sababu akili ilikuwa kaa siyo yangu ila kwasasa mni pm nitawajibu.
ni mimi proud mother