Karibu mwathuu, havache.Hi All,
Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!
I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more.
Nitashukuru mkinikaribisha..
Hi All,
Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!
I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more.
Nitashukuru mkinikaribisha..
Karibu mtani
Ipere thi kindo,,,, bora.........................................
Karibu jamvini
Karibu sana mpare ingawa umenichanganya kidogo kwa majina yako.Waitwa Mangi then wewe ni mpare,safi sana.
karibu mpare.....
ila hawa jamaa ni wabahili sijapata kuona......kuna jamaa wangu alikuwa anasoma same huko upareni ile shule nasikia walitukanawa na maji....hawapendi kuoga jaaa alikuwa akija likizo anakuja ngozi ina ramani ramani za uchafu alafu anapiga diblo(gitaa) mwili mzima....