Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
wadau naomba mnisaidie mimi napenda masistaa duu sana ila kwa refreshment tu lakini kila napofanya juhudi kuwapata hata kwa pesa wanisumbua sana ila naambulia kupata walokole na watu decent kwelikweli(wife material) wakat mimi sio husband material. Nipen siri za kUwapata hasa hawa wanaopenda vya gharama wakat kwao wanalalia makuti