Nawakumbusha tu kuendesha Serikali si sawa na kuendesha duka

Kazanazo

JF-Expert Member
Aug 16, 2023
687
1,360
Kuendesha serikali ni sawa na kuendesha duka, mapato yatokanayo na makusanyo ya kodi mbalimbali na miradi ya nchi ndiyo mtaji kama ilivyo kwa mwenye duka.

Bidhaa za serikali ni huduma kwa wananchi ili waweze kulipa kodi na kuwekeza katika miradi mbalimbali kwa faida kama ilivyo kwa mwenye duka anavyoweka bidhaa ili apate faida.

Faida inayopatikana huwa inawekezwa zaidi au kutumika katika mahitaji mbalimbali bila kuathiri mtaji.

Inapotokea mwenye duka au watu aliowaajiri wakatumia vibaya mtaji duka huwa linafirisika, hivyo hivyo kwa serikali pia.

Unakuta serikali imetenga bajeti kadhaa kwenye umeme kama mtaji ili mapato yapatikane inapouza kwa faida halafu unatokea ubadhilifu wa bajeti hiyo serikali lazima ifirisike matokeo yake kamtaji kadogo kanashindwa kuwahudumia watz wote.

Nataka kuwakumbusha watumishi wa serikali kuwa mnapoajiriwa serikalini ni sawa umepewa kibarua na mwenye duka ukila mtaji duka linafirisika na kushindwa kutoa huduma.
 
Kuendesha serikali ni sawa na kuendesha duka, mapato yatokanayo na makusanyo ya kodi mbalimbali na miradi ya nchi ndiyo mtaji kama ilivyo kwa mwenye duka.

Bidhaa za serikali ni huduma kwa wananchi ili waweze kulipa kodi na kuwekeza katika miradi mbalimbali kwa faida kama ilivyo kwa mwenye duka anavyoweka bidhaa ili apate faida.

Faida inayopatikana huwa inawekezwa zaidi au kutumika katika mahitaji mbalimbali bila kuathiri mtaji.

Inapotokea mwenye duka au watu aliowaajiri wakatumia vibaya mtaji duka huwa linafirisika, hivyo hivyo kwa serikali pia.

Unakuta serikali imetenga bajeti kadhaa kwenye umeme kama mtaji ili mapato yapatikane inapouza kwa faida halafu unatokea ubadhilifu wa bajeti hiyo serikali lazima ifirisike matokeo yake kamtaji kadogo kanashindwa kuwahudumia watz wote.

Nataka kuwakumbusha watumishi wa serikali kuwa mnapoajiriwa serikalini ni sawa umepewa kibarua na mwenye duka ukila mtaji duka linafirisika na kushindwa kutoa huduma.
Ukweli unavyoelekea Duka linakwenda kufilisika
 
Tusimungunye maneno,Afrika(ukiondoa South Afrika) tumelogwa, viongozi wetu hawaingii madarakani ili kukuza nchi, wanaingia ili waibe wao na familia zao, kipaumbele Chao sio kuifanya TZ iwe super power kiuchumi, hawana agenda za, miaka 100+, 200+, wao, wanawaza kitu cha kuonekana on their life time! Ndio huwa wanakuja na porojo kuwa ukiweka vyereani Vita tu ni kiwanda!
Ndoto zao, zinapigiwa pale wao tu wakiwa hai, zaidi ya hapo ni Giza tu! Turkiye,China, Iran, Korea kusini, viongozi wake walikaa chini,wakapanga na kuweka mikakati na mifumo ya uchumi, itakayoleta maendeleo miaka 100+ijayo!
Na Leo wanavuna matunda, kenge wetu wao wanajua kurembua macho, na, kuwaza uchaguzi tu
 
Tusimungunye maneno,Afrika(ukiondoa South Afrika) tumelogwa, viongozi wetu hawaingii madarakani ili kukuza nchi, wanaingia ili waibe wao na familia zao, kipaumbele Chao sio kuifanya TZ iwe super power kiuchumi, hawana agenda za, miaka 100+, 200+, wao, wanawaza kitu cha kuonekana on their life time! Ndio huwa wanakuja na porojo kuwa ukiweka vyereani Vita tu ni kiwanda!
Ndoto zao, zinapigiwa pale wao tu wakiwa hai, zaidi ya hapo ni Giza tu! Turkiye,China, Iran, Korea kusini, viongozi wake walikaa chini,wakapanga na kuweka mikakati na mifumo ya uchumi, itakayoleta maendeleo miaka 100+ijayo!
Na Leo wanavuna matunda, kenge wetu wao wanajua kurembua macho, na, kuwaza uchaguzi tu
Mtu akipata bahati kuingia serikalini kashatoboa cjui wanafikiri izi ela wanazopiga zinatoka wapi?
 
Kuendesha serikali ni sawa na kuendesha duka, mapato yatokanayo na makusanyo ya kodi mbalimbali na miradi ya nchi ndiyo mtaji kama ilivyo kwa mwenye duka.

Bidhaa za serikali ni huduma kwa wananchi ili waweze kulipa kodi na kuwekeza katika miradi mbalimbali kwa faida kama ilivyo kwa mwenye duka anavyoweka bidhaa ili apate faida.

Faida inayopatikana huwa inawekezwa zaidi au kutumika katika mahitaji mbalimbali bila kuathiri mtaji.

Inapotokea mwenye duka au watu aliowaajiri wakatumia vibaya mtaji duka huwa linafirisika, hivyo hivyo kwa serikali pia.

Unakuta serikali imetenga bajeti kadhaa kwenye umeme kama mtaji ili mapato yapatikane inapouza kwa faida halafu unatokea ubadhilifu wa bajeti hiyo serikali lazima ifirisike matokeo yake kamtaji kadogo kanashindwa kuwahudumia watz wote.

Nataka kuwakumbusha watumishi wa serikali kuwa mnapoajiriwa serikalini ni sawa umepewa kibarua na mwenye duka ukila mtaji duka linafirisika na kushindwa kutoa huduma.
Tunaambiwa mtu akiweza kuendesha bajeti ya jikoni , na kulipa madeni ya vicoba , basi anafaa, kuliko wale wanaangalia mpira au kitambaa cheupe na mambo kama hayo
 
Ukweli unavyoelekea Duka linakwenda kufilisika
Wanatumia tu bila kuingiza wanategemea kodi kwa mlala hoi ambae hata huduma hawampi, umeme tu shida huyo mtu atapataje kodi ya kulipa na kazi zinategemea umeme, miradi ya kimkakati inasuasua serikali itapataje pesa mwishoe wanategemea madeni kuendesha shughuli za kila cku
 
Na ataulipaje? Kama kila ukiisha unakopa, za kulipa zitatoka wapi?
Mkuu baadhi ya wafanyakazi wa serikali ni wabinafsi sana wanaangalia familia zao tu na hali zao za maisha hawajui baada ya miongo kadhaa hata familia zao zitaathirika kwa mdororo wa kiuchumi yaani wanawaza kuiba tu bila kujua izo wanazoiba zinatoka wapi?
 
Tusimungunye maneno,Afrika(ukiondoa South Afrika) tumelogwa, viongozi wetu hawaingii madarakani ili kukuza nchi, wanaingia ili waibe wao na familia zao, kipaumbele Chao sio kuifanya TZ iwe super power kiuchumi, hawana agenda za, miaka 100+, 200+, wao, wanawaza kitu cha kuonekana on their life time! Ndio huwa wanakuja na porojo kuwa ukiweka vyereani Vita tu ni kiwanda!
Ndoto zao, zinapigiwa pale wao tu wakiwa hai, zaidi ya hapo ni Giza tu! Turkiye,China, Iran, Korea kusini, viongozi wake walikaa chini,wakapanga na kuweka mikakati na mifumo ya uchumi, itakayoleta maendeleo miaka 100+ijayo!
Na Leo wanavuna matunda, kenge wetu wao wanajua kurembua macho, na, kuwaza uchaguzi tu
Sina cha kuongeza
 
Back
Top Bottom