Anastasia21
Member
- Jul 27, 2023
- 5
- 4
Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/-
Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
Hiyo ni bei ya Kiwandani, huwezi kupata mteja.Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/-
Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
View attachment 2700389
Hiyo ni bei ya jipya.Likiwa jipya bei ipoje
Huenda lake ameweka maujanja ya kufanya ukiweka maji yanageuka asali; au ilikuwa ni toleo customized kwa ajili yake pekee.Hiyo ni bei ya jipya.
Pale Airport Dar upande wa kulia kuna jengo linaitwa KAMAKA ni warehouse kubwa na duka pia, hapo hardware items unazipata hapo tena kwa bei rafiki, especially sanitaries na hayo masim tank, hiyo ni bei ya brand new tank.Huenda lake ameweka maujanja ya kufanya ukiweka maji yanageuka asali; au ilikuwa ni toleo customized kwa ajili yake pekee.
Ngoja aje atwambie iweje Kitu used kiuzwe Bei ya Kipya.... (kama kweli hio ndio bei)