Nauza nyumba ipo kinondoni b meter 5 kutoka kituon ni ktk baraba in frem 5 za maduka bei 900 milion View attachment 378156View attachment 378158View attachment 378160View attachment 378161
Hapo ni kwa Bi. Mzaramo, almaarufu kwa kina Aziza!Hahaha ww sio bure umevurugwa
Valuation ya bongo tamu sana;
1) ukitaka kuuza nyumba ya urithi mnakusanyana kujua idadi yenu then mnaamua kila mtu atapata tsh ngapi then mnajumlisha inakua bei ya nyumba
2. Ukitaka kuuza kitu chako kutibu mgonjwa basi tunaangalia gharama za matibabu inakua ndo bei ya kitu
3 ) ukiwa n matatizo yako gharama ya kuyatatua ndio inakuwa bei ya kitu unachouza.
Madhara yake ni kuwa huenda uka under au uka over value.
Nauza nyumba ipo kinondoni b meter 5 kutoka kituon ni ktk baraba in frem 5 za maduka bei 900 milion View attachment 378156View attachment 378158View attachment 378160View attachment 378161
Mkuu, wewe unauza kiwanja au nyumba?
Hapo ni "Prime Area" hivyo jitahidi, ila kwa sasa unaweza kushusha hizo 900M?
Nyumba/ Kiwanja ni chako?
Je kina "Title Deed"
Je kina Mita ngapi za mraba?
Ina umbali unaotakiwa kutoka barabarani (mita 30)?
Hizo frames za maduka umeongozea tu nje ya "planning permission"
nimekutumia document zinazoonesha details ya kiwanja
Anapigwa uchizi wa kufa mtu4)Mwanafamilia mmoja akikataa nyumba isiuzwe atalazimishwa hata kwa ndumba na ikibidi kumuondoa kabisa Duniani.