bei sh. Ngapi Kwa kopo 1 ,Unapatikana wapi
25000 jumla 30,000 rejareja
unaweza kunipa faida ya hayo mafuta kama hutajali
Yanalainisha ngozi na pia kutoa michirizi ukitumia kwa mida mrefu, hayachubui lkn yanakufanya uwe sof sana Actually its a next big thing right now
Location yako ni wapi huko dar nitume mtu.
Samahani, wewe ndio love hurts ??
Cream hyo na ukianza kuitumia inabidi msiache.. Ukiacha ngozi itakuwa ya ajabu
vaseline. Johnson yatosha