Nauza mafuta ya Queen Elizabeth karibuni

Sio Cream Ni Cocoa Butter 100%... Ndio maana fisadi fulani hapo bongo kaona sisi walala hoi tunaoleta kidogo kidogo tunafaidi kahamua kwenda Ivory Coast na ebola yote iliyojaa Kamwaga Mjini Container 50 za queen Elisabeth...Sijui hizo pesa anazoiba bungeni hazimtoshi mpaka kutuzibia rizki ss wenye mitaji midogo..


hahaha umenifurahisha kweli. vp huyo ni nani na anauza kwa shilingi ngap na anapatikana wap?
pia naomba unisaidie kuhusu hili.

1. mafuta haya wanaume wanaweza kutumia?
2. vp yanaondoa mikunjo kwenye paji la uso especially lie iliyo sambamba na pua..
 
hahaha umenifurahisha kweli. vp huyo ni nani na anauza kwa shilingi ngap na anapatikana wap?
pia naomba unisaidie kuhusu hili.

1. mafuta haya wanaume wanaweza kutumia?
2. vp yanaondoa mikunjo kwenye paji la uso especially lie iliyo sambamba na pua..

Mwizi mmoja tu aliyeamia kutuzibia rizki anauza 25,000 rejareja na 20,000 jumla, ameyajaza kariakoo huko

1.ndio wanaume wanaweza kutumia pia

2.Sina uhakika mkuu lkn ni mafuta mazuri sana ukitumia auwezi kujua, me mwenyewe mr anatumia yamemfanya mwili wake umekuwa soft sana na unang'aa haswa, lkn angalia watu wengine wanauza ambayo ukiyafungua kwa ndani yanatoa maji baada ya matumizi ya mida mfupi au kabla hata aujatumia ukifungua tu utaona kopo lina majimaji
 
Sio Cream Ni Cocoa Butter 100%... Ndio maana fisadi fulani hapo bongo kaona sisi walala hoi tunaoleta kidogo kidogo tunafaidi kahamua kwenda Ivory Coast na ebola yote iliyojaa Kamwaga Mjini Container 50 za queen Elisabeth...Sijui hizo pesa anazoiba bungeni hazimtoshi mpaka kutuzibia rizki ss wenye mitaji midogo..


yaani huyu ndio anaakili timamu,meona wewe unatulangua kwa hiyo bei yeye kamuu kutukomboa kwa kuleta nyingi ili kushusha bei.
nasubiri akifungua tu na mie naanza kuyatumia cha muhimu alipe kodi ya serikali yangu tu.
 
Mwizi mmoja tu aliyeamia kutuzibia rizki anauza 25,000 rejareja na 20,000 jumla, ameyajaza kariakoo huko

1.ndio wanaume wanaweza kutumia pia

2.Sina uhakika mkuu lkn ni mafuta mazuri sana ukitumia auwezi kujua, me mwenyewe mr anatumia yamemfanya mwili wake umekuwa soft sana na unang'aa haswa, lkn angalia watu wengine wanauza ambayo ukiyafungua kwa ndani yanatoa maji baada ya matumizi ya mida mfupi au kabla hata aujatumia ukifungua tu utaona kopo lina majimaji

hivi kama una uhakika kuwa ni mwizi kwanini usihangaikie ili swala ili serikali ichukue mkondo wake wa kisheria?au washindani wako ndio unawaita wezi kwavile wamekuzidi kete kwa kuwa na mitaji mikubwa?
 
Mwizi mmoja tu aliyeamia kutuzibia rizki anauza 25,000 rejareja na 20,000 jumla, ameyajaza kariakoo huko

1.ndio wanaume wanaweza kutumia pia

2.Sina uhakika mkuu lkn ni mafuta mazuri sana ukitumia auwezi kujua, me mwenyewe mr anatumia yamemfanya mwili wake umekuwa soft sana na unang'aa haswa, lkn angalia watu wengine wanauza ambayo ukiyafungua kwa ndani yanatoa maji baada ya matumizi ya mida mfupi au kabla hata aujatumia ukifungua tu utaona kopo lina majimaji


thank u for ur concern......
 
hivi kama una uhakika kuwa ni mwizi kwanini usihangaikie ili swala ili serikali ichukue mkondo wake wa kisheria?au washindani wako ndio unawaita wezi kwavile wamekuzidi kete kwa kuwa na mitaji mikubwa?

Mtu ana hotel na majumba kaza wa kaza masaki na bado vibiashata vyetu walala hoi anavimind! Nasikia amepandisha bei 28,000 kwa kopo kuanzia kopo 10, anawauzia waheshimiwa mjengoni
, tulikuwa tunauza SMa na cowgate maziwa ya watoto siku hzi tukileta wanasema wanataka kibali kwakuwa kuna mwenye nchi kapewa kibali cha kuyaingiza injini na supllier ni mmoja nchi nzima, tukaanza kuleta malory siku hz awataki yaliyozidi miaka 10 wanataka mapya, yakaja mafriji now wametupiga marufuku awataki hahahaha eti yana gas yenye sumu, naona kinachofuatia ni hizi cocoa butter nazo watasema hatuna kibali cha kuingiza...
Kalaga bao hivyo hivyo ulaya wafanyabiashara wadogo wanapewa kipaumbele ndio maana kuna supermarket na local market, ndio maana nchi inaendelea sio bongo wale wao tuuuu, kama yy ana mtaji mkubwa angeanzisha kiwanda hapo hapo bongo atengeneze
P.S una undugu na muheshimiea nini
 
yaani huyu ndio anaakili timamu,meona wewe unatulangua kwa hiyo bei yeye kamuu kutukomboa kwa kuleta nyingi ili kushusha bei.
nasubiri akifungua tu na mie naanza kuyatumia cha muhimu alipe kodi ya serikali yangu tu.

Yeye mbona anauza 28,000 kwa moja? Nenda kwenye maduka ya madada wa mujini uone wanavyotengenezwa kuna mmoja kamaliza anauza 45,000 kwa moja
 
Sio Cream Ni Cocoa Butter 100%... Ndio maana fisadi fulani hapo bongo kaona sisi walala hoi tunaoleta kidogo kidogo tunafaidi kahamua kwenda Ivory Coast na ebola yote iliyojaa Kamwaga Mjini Container 50 za queen Elisabeth...Sijui hizo pesa anazoiba bungeni hazimtoshi mpaka kutuzibia rizki ss wenye mitaji midogo..

Ni afadhali alivyoleta hzo kontena 50 Maana wabongo mnapenda wizi.. Nyie mnauzaje kopo la mafuta ya kupakaa kwa 35000?? ningekuwa na uwezo ningeingiza kontena 100 zaidi ningeuza kwa 15000 naamini faida inapatikana

tatizo biashara za waswahili zimejaa wizi ndo maana haziendelei
 
Yeye mbona anauza 28,000 kwa moja? Nenda kwenye maduka ya madada wa mujini uone wanavyotengenezwa kuna mmoja kamaliza anauza 45,000 kwa moja

Wote tu mi naonaga ushamba wao tu.
Kesho wakitangaziwa mafuta mengine watahama hayo watakimbilia.
Kuhangaika tu

Wajinga ndio waliowao
 
Ni afadhali alivyoleta hzo kontena 50 Maana wabongo mnapenda wizi.. Nyie mnauzaje kopo la mafuta ya kupakaa kwa 35000?? ningekuwa na uwezo ningeingiza kontena 100 zaidi ningeuza kwa 15000 naamini faida inapatikana

tatizo biashara za waswahili zimejaa wizi ndo maana haziendelei

Mkuu tatizo kubwa ni shipping cost na Kodi,
huyo fisadi kaleta kwa meli, na hawa ngine wanaleta kwa ndege, fidsadi kodi magumashi, wengine kodi haki bin haki.
unategeema nini?
 
Wote tu mi naonaga ushamba wao tu.
Kesho wakitangaziwa mafuta mengine watahama hayo watakimbilia.
Kuhangaika tu

Wajinga ndio waliowao

Tayari yapo mjini yanaitwa QUEEN HELEN ni mbadala ya hayo maarufu ya QUEEN ELITHABETH maana kunatofauti ya 5000 kwenye bei na yote ni 100% cocoa butter.
 
Tayari yapo mjini yanaitwa QUEEN HELEN ni mbadala ya hayo maarufu ya QUEEN ELITHABETH maana kunatofauti ya 5000 kwenye bei na yote ni 100% cocoa butter.

Queen Hellen ni Lotion yanatengeneWa USA so ni full mchakachuo Mkuu! Queen elisabeth yanatoka Ivory cost full cocoa..!
 
Ni afadhali alivyoleta hzo kontena 50 Maana wabongo mnapenda wizi.. Nyie mnauzaje kopo la mafuta ya kupakaa kwa 35000?? ningekuwa na uwezo ningeingiza kontena 100 zaidi ningeuza kwa 15000 naamini faida inapatikana

tatizo biashara za waswahili zimejaa wizi ndo maana haziendelei

Unaongea kwa Mdomo au kwa ile njia nyingine ya kutolea hewa chafu?
 
hivi kama una uhakika kuwa ni mwizi kwanini usihangaikie ili swala ili serikali ichukue mkondo wake wa kisheria?au washindani wako ndio unawaita wezi kwavile wamekuzidi kete kwa kuwa na mitaji mikubwa?

Shamba La Bwana Heri Mbuzi wa Bwana Heri..! Ni sawa n kesi ya Nyani kumpa ngedere...#UgotMe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom