Ok, tupo pamojaNdg wanajamii nauza kiwanja eneo la burka kusini lina upana wa mita 65 na urefu wa mita 120 sawa na heka 1 na nusu. mwenye kuhitaji anishtue.
bei ni 90m ndg yangu
tumekupata mkuu
ila wewe utakuwa fisadi
vingi ya vile viwanja tuliopata vilikuwa sq m 600 mpaka 800
mkuu una ekari moja na nusu
kweli we fisadi
ndg nimeonganisha viwanja ndo nikapata hiyo eka na nusu . Mkuu hujui nimeuza nini nikapata hela ya kununulia hicho kiwanja .
ndg nimeonganisha viwanja ndo nikapata hiyo eka na nusu . Mkuu hujui nimeuza nini nikapata hela ya kununulia hicho kiwanja .
Eheeeee, uliuza nini ndo ukanunua? Mi nahitaji kiwanja lakini eneo hilo sijawahi kufika! Napafahamu maeneo machache sana A-town kama Ngurero, Ora-city Garden, Arusha Airport! vipi nikipata number ya simu nimtume mdau aje akicheki? niPM namba yako.
Mkuu ni Ngulelo na sio Ngurero na Olasiti na sio Orasiti
Hayo maeneo mkuu kupata ardhi kwa sasa ni issue na bei ziko juu mbaya
Maana ni maeneo ya Jiji kwa sasa na unajua tena lazima kupangike
Unaweza pata ila bei yake ni kichaa