Car4Sale Nauza gari aina ya Rav4 milango mitano

Heko

Member
Aug 26, 2022
7
4
Habari,

Nauza gari aina ya Rav4 milango mitano. Ipo katika hali nzuri kwa bei ya Tsh. 7m na maongezi yapo.

Gari ipo Kimara Dar es salaam wasiliana nami kwa simu no 0713227823 au 0756844197

Karibuni sana.
IMG20230217122057.jpg
IMG20230217122012.jpg
IMG20230217121840.jpg
IMG20230217121858.jpg
IMG20230217122407.jpg
IMG20230217122454.jpg
IMG-20230217-WA0022.jpg
 
Anzia milioni 5 wateja wataanza kuja hapo na mazungumzo ili mfanye mauziano. Milioni saba mtu akiongeza milioni mbili anapata gari nzuri sana ya kutembelea hapa mjini tena ya kisasa na ni namba D.
 
Anzia milioni 5 wateja wataanza kuja hapo na mazungumzo ili mfanye mauziano. Milioni saba mtu akiongeza milioni mbili anapata gari nzuri sana ya kutembelea hapa mjini tena ya kisasa na ni namba D.
10M unanipa gari gani boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom