Mkuu kula 4m utatue changamoto yakoHabari,
Nauza gari aina ya Rav4 milango mitano. Ipo katika hali nzuri kwa bei ya Tsh. 7m na maongezi yapo.
Gari ipo Kimara Dar es salaam wasiliana nami kwa simu no 0713227823 au 0756844197
Karibuni sana.View attachment 2575738View attachment 2575739View attachment 2575740View attachment 2575741View attachment 2575742View attachment 2575743View attachment 2575744
Wakuu hivi nikitaka kununua gari nizingtie nini sanasana
10M unanipa gari gani bossAnzia milioni 5 wateja wataanza kuja hapo na mazungumzo ili mfanye mauziano. Milioni saba mtu akiongeza milioni mbili anapata gari nzuri sana ya kutembelea hapa mjini tena ya kisasa na ni namba D.