Naomba msaada wa maelekezo maana nimekuona NI mfugaji mbobezi bata wangu hawatagi shida huwa ni nn hasaNatafuta wateja wa bata wa kienyeji
Madume 25,000
Majike 20,000
Mbagala charambe ndipo nilipo
Wapo wengi sana. Malad, bukini, chainese/african gees, na wengineo.Hivi na bata wa kisasa washaingia kama haya makuku amadori?
Unawalisha chakula gani?Naomba msaada wa maelekezo maana nimekuona NI mfugaji mbobezi bata wangu hawatagi shida huwa ni nn hasa
Unawalisha chakula gani?
Kuku ni mtam kuliko bata.Bata kwa nn hawachangamki kisoko kama kuku??!!
Naomba nitafute 0713544411Mkuu una link ya group la ufugaji wa ng’ombe wa maziwa?
Aaahh....!!!! Kwahiyo Hao ni wa Viwandani, kama hawa kuku wa kizungu? Sijawahi kujua hili, nao wanakuwa ndani ya siku ngapi tayari kuliwa?Wapo wengi sana. Malad, bukini, chainese/african gees, na wengineo.