Hivi madoctor mwanamke anaruhusiwa kufanya mapenzi baada ya kujifungua? yaani kwa mwanamke aliyejifungua kwa njia ya kawaida na atajuaje kwamba amepona?
Usiendekeze ngono sana lea mwana wewe!
unaruhusiwa kufanya mapenzi baada ya kujifungua.
Swali lako la msingi ni baada ya muda gan afta kujifungua unaweza ku do?
Inategemea...wengine afta siku 4 wengine 40 wengine miezi miwili na wengine wanakwambia afta brid kuisha.
Ehh long time tulikuwa na majiran walinzi wa shamba mama na babamembe...sasa baba membe alikuwa anamzalisha mamamembe kila mwaka yaan mwaka huu ana shija,mwakan kija,membe,masanja....sasa yule mamamembe alikuwa analalamika et ...yaan babamembe jjjana kantoboa(kanitia) uku madamu yanatoka ..iyo ngoma ni 2days afta mama membe kujifungua....u can imagine....
Mi nazan afta miezi miwili ivi kistaarabu lakin km una haraka sana arobain ikiisha ahh njunju km kawa..wewe tu jipimie na stamina yako ilivyo