Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Kwa taarifa nilizonazo ambazo nimepewa toka kwa mkulu mmoja wa shirika la Bima ni Kwamba Serikali imeagiza shirika hilo lifungwe wakati serikali ikiamua ni nini kifanyike kulinusuru shirika hilo.
Habariz a ndani kabisa zinasema kuna baadhi ya watu wanataka kulichukua shirika hilo kama wawekezaji kwa bei ya kutupwa(Majina ninayo nasubiri kwanza) .Watu hao ni baadhi ya viongozi wenye sauti kubwa katika serikali.
Habari hizi zinasema kufa kwa shirika hilo kumechangiwa sana na Mkurugenzi Mkuu Mama Ikongo na baadhi ya maafisa wa juu wa shirika hilo akiwamo Mkurugenzi wa Fedha na Utawala
Kwa taarifa nilizonazo ambazo nimepewa toka kwa mkulu mmoja wa shirika la Bima ni Kwamba Serikali imeagiza shirika hilo lifungwe wakati serikali ikiamua ni nini kifanyike kulinusuru shirika hilo.
Habariz a ndani kabisa zinasema kuna baadhi ya watu wanataka kulichukua shirika hilo kama wawekezaji kwa bei ya kutupwa(Majina ninayo nasubiri kwanza) .Watu hao ni baadhi ya viongozi wenye sauti kubwa katika serikali.
Habari hizi zinasema kufa kwa shirika hilo kumechangiwa sana na Mkurugenzi Mkuu Mama Ikongo na baadhi ya maafisa wa juu wa shirika hilo akiwamo Mkurugenzi wa Fedha na Utawala