sakasaka
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 239
- 312
Inategemea na umbali toka nyaya zao zilipopita ila zimeka kitanzania zinabebeka ukiwa na niaVp kuhusu installation cost zao
Inategemea na umbali toka nyaya zao zilipopita ila zimeka kitanzania zinabebeka ukiwa na niaVp kuhusu installation cost zao
Wapo mpk Tegeta, ila sijajua installation service yao, wako vizuri na wanatumia miundo mbinu ya TTCLNimekutama na hawa wengine wanasema wapo na wamefika sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam View attachment 2348065
Zuku yupo maeneo hayo boss ila Voda wapata piaMi nipo sinza natamani kujua kama TTCl fiber wamefika au zuku na mawasiliano yao
Fiber kwa mwezi kuna kifurushi chaBro Heshima yako. TTcl wanalipaje kwa mwezi?
TTCL Fiber inapatikana Tanzania nzima mzee babaMi nipo sinza natamani kujua kama TTCl fiber wamefika au zuku na mawasiliano yao
Mkuu haukunijibu.TTCL Fiber inapatikana Tanzania nzima mzee baba
#RudiNyumbaniKumenoga
Kuna sehemu hapa hapa Dar haipatikani...TTCL Fiber inapatikana Tanzania nzima mzee baba
#RudiNyumbaniKumenoga
Mbezi Beach mtaa gani?Kuna sehemu hapa hapa Dar haipatikani...
Surveyors wenu walishindwa tuungia Mbezi Beach, wakatoa gharama kubwa kuliko Zuku
Mimi nimeomba sana huku Mtwara ila ni kama hamtaki kufanya kaziMbezi Beach mtaa gani?
Mawasiliano yako ni muhimu
Karibu PM, kumbuka kunitajia location uliyopo pamoja na mawasiliano yako.Mimi nimeomba sana huku Mtwara ila ni kama hamtaki kufanya kazi
Tushaachana na nyie, kwanza mnaringa sanaMbezi Beach mtaa gani?
Mawasiliano yako ni muhimu
Copper ndo ipi hiyo?Fiber kwa mwezi kuna kifurushi cha
55K
100K
150k
200K
na Copper ni kama ifuatavyo
25k
50k
80k
Ni UNLIMITED INTERNET
Bro kila la heri,uko wapi hapa nyumbani. Namie huwa Nina wazo Kama lako so we've got something in common. We can be friends with benefitsWaheshimiwa 43+ heshima kwenu, wadogo chini ya 40 mnisalimie
Aisee kama uzi unavyosema nategemea kuingiza fiber ya TTCL na 20mbps shared. Professionally ni mtu wa IT
Mbali na kuiunga kwenye tv na social media nataka niitumie kujiingizia kipato
Bado nawaza nitaifanyia nini cha faida
Kuna utube chanel, ticktock
Kama kuna mwenye wazo tujuzane
Tangu walivyo pita kufanya Survey mwezi wa u mpk Leo wa 11 kimya. Kazi ipoTTCL Fiber inapatikana Tanzania nzima mzee baba
#RudiNyumbaniKumenoga
Unapatikana sehemu gani?Tangu walivyo pita kufanya Survey mwezi wa u mpk Leo wa 11 kimya. Kazi ipo
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Wamekufanya nn tena mkuuTtcl wapuuzi sana sijapata wazungu hadi leo
@Kanungila Karim wape vijana huduma bossTangu walivyo pita kufanya Survey mwezi wa u mpk Leo wa 11 kimya. Kazi ipo
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app