wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Unataka tujuw kama ulikuwa huko.....watu wa huo mkoa kwa ushamba hamjambo
kwikwikwi,tehe teh et anajielezea kijanjaa!
Unataka tujuw kama ulikuwa huko.....watu wa huo mkoa kwa ushamba hamjambo
Tatizo mmelelewa na CCM ambayo haiwezi kuwajibisha viongozi wake wanapo kosea...
Nia ni kujenga Chama siyo kubomoa ..Kama hilo limekuudhi safari njema...
Hatuwezi kuwa na Chama kinacho zungumza "majina" ya watu...
CDM imethubutu ..CCM waige kama wanaweza..
kadi yako namba ngapi au ni walewale magamba
kwa hiyo atakakohamia ZZK ndo utahamia...??? Nina mashaka na reasoning capacity yako
Siombi wawafukuze, nawaomba wawavue tu hayo magamba yao kama wataweza. Kazi ya Nape ni kelele, Oh! Waziri nanihii ni mzoga tu, na nanihii ni mzigo tu na nanihii ni mzinga tuu. Jaribuni hata kuwawajibisha huo mzigo wenu tuone kama hilo lichama halijazamia mikononi mwenu.
CDM tumejaribu, Tumeweza, Tunasonga mbele. CDM ni Taasisi siyo mtu. Hakuna zaidi ya CDM kwani bila CDM huna umaarufu wowote.
Tumeuonesha ulimwengu kuwa, ukileta mchezo, Ng'oa TUPA KELEEE. Magamba pokeeni atawafaa sana kwa Propaganda huyo ZZK
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Ukiona mtu anakuaga akisema anaenda kujiua,ujue huyo hana mpango wa kufa,wanaojiua huwa hawaagiNdugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
MSAADA MWENYE MASHINE NZURI ANIANGALIZIE REKODI YA HUYU PIMBI ANAEJIITA Mnyiramba HAPA JF.kajiunga lini,post zake na kila kitu.isije ikawa tunasumbuliwa na mbulula fulani tu hapa.HIVI WAKATI UNAJIUNGA CDM ULITUTANGAZIA HUMU? Mambo mengine ya kipuuzi kabisa!!
hongera mkuu mimi binafsi sina chama chochote wote wazinguaji. vyama pinzan vinalalamikia demokrasia wakat waho hawana demokrasia.
kila siku wenyeviti na wagombeaji urais ni wale wale yani wako kulinda maslahi tu ukiwa mkweli wanakuondoa.
natangaza rasmi sina chama chochote wote wachumia tumbo tena upinzan ndio hatari zaidi
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.
Nanyie kwa udini na ukabila mmmmhhkafie mbele na ikiwezekana uwe chakula ya fisi (ccm).
maana gambaz kwa mizoga hawajambo....
...kwa element za ukabila hufai kuwepo chadema maana agenda yenu ya ukabila haikufanikiwa...
Ndugu wanajf na Watanzania wote,natangaza rasmi kukihama chama cha Demokrasia na maendeleo kutokana na mwenendo wake mzima katika chama.Kama wanachama wenyewe hawapatani ndani ya chama,watawezeje kutengeneza muungano wa kidemokrasia utakaolenga kulikomboa Taifa!,Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa mimi Msingida,nakihama chama hichi Rasmi leo.Asanteni kwa kusoma uzi huu.