Natangaza rasmi kutoishabikia Simba SC kwa muda na kuisema vibaya mpaka Kocha Msaidizi Matola ang'olewe Simba SC

Kuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa ( atakapofurumushwa )
Na mimi ninatangaza rasmi kutokukukubali tena kama Purely talented, well blessed and cherismatic Fella hadi hapo utakapoanza kuishabikia tena simba.

Dawa ya moto ni moto.
 
Kuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
Sisi Yanga hatukutaki maana itakuwa unafiki, simba ni taasisi kuweka bifu na mtu ni ushamba, allegations kuhusu matola ni kinadharia kwani alikuwepo simba ikiwa inafanya vizuri mbona mlikaa kimya.

Sijui nani kawashika akili, mnashindwa kujua kabisa tatizo la simba ni management na mfadhili?

Leo Matola yes ataondoka, kesho mtamtafuta mchawi mwingine.
 
Kuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
We tangu lini ukawa shabiki wa Simba?
 
Kuanzia sasa MINOCYCLINE nitakuwa Naipamba tu Yanga SC huku Nikiichana mara kwa mara Simba SC na nitaacha kufanya hivi pale tu Kocha Msaidizi Matola atakapong'olewa (atakapofurumushwa).
Dawa ya moto ni moto na dawa ya mchawi ni uchawi haha...natania
 
(✷‿✷)(✷‿✷)(✷‿✷)(✷‿✷) daaah mino a.k.a genta kwenye ubora!! Tungekuwa na watu kama wewe 20 tu kwenye nchi hii, hakika tungekuwa mbali Sana kila sekta, HAKUNA KUVUMILIA JITU, SIMBA NA TAIFA TUNATAKA MAENDELEO SIO CHUPLI CHUPLI NA UWONGO UWONGO TU, KUFANYA WATU MAZUZU KILA SIKU GENTA NIKO NA WEWE MPAKA KIELEWEKE ,TUMECHOKA KUWA KICHWA CHA MWENDAWAZIMU NA UCHOCHORO KWA TIMU YOYOTE NDANI NA NJE YA NCHI!
 
Back
Top Bottom