The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Ivuga kasahau kama aliomba mtu mwenye pingamizi awekeUcshituke sana. Si umeomba mapingamizi? Ndo hayo yameanza, uwe na moyo wa uvumilivu.
Ivuga kasahau kama aliomba mtu mwenye pingamizi awekeUcshituke sana. Si umeomba mapingamizi? Ndo hayo yameanza, uwe na moyo wa uvumilivu.
Ucshituke sana. Si umeomba mapingamizi? Ndo hayo yameanza, uwe na moyo wa uvumilivu.
Hahahahaha! Ndo mana nmemwomba awe na moyo wa uvumilivu.Ivuga kasahau kama aliomba mtu mwenye pingamizi aweke
Ivuga kasahau kama aliomba mtu mwenye pingamizi aweke
lakini nimeomba pingamizi liwe la kistaarabu,lisiwe na jazba , si unajua sku hizi mapresha yapo nje nje
Ahaaa ahaaa nampa tu utajuaje je kama anataka kukataka kamba au uzi lolmwanao akiomba wembe utampa?
</p><font face="Comic Sans MS"><font size="3">yule niliachana naye sasa hivi nataka mtoto wa hapahapa JF</font></font> ,JF ni kila kitu jamani kama hamuamini
</p>Hahahahaha! Na hili la ku2miwa kwnye PM nna wasi2 nalo, manake mwnye pingamizi keshasema atakushock, usiingie PM mpk ndoa ipite!
Hahahahaha! Na hili la ku2miwa kwnye PM nna wasi2 nalo, manake mwnye pingamizi keshasema atakushock, usiingie PM mpk ndoa ipite!
<p></p>
<p> </p>
unataka mtoto wa jf ama UMEPATA.nina wasiwasi kama unatangaza ndoa ama unatafuta mchumba.samahani,huyo kwenye tangazo la ndoa ndo bibie mtarajiwa?[/QUOTE]
pigia mstari, na ndio maana nimetangaza kwanza ili kuondoa manun'guniko badae
Ahaaa ahaaa nampa tu utajuaje je kama anataka kukataka kamba au uzi lol
hahahhahhaha!!!!!!
nakubaliana na wewe kwa 100% ila hili dukuduku mmmm@!! sijui kama ntaweza kujibu lile swali la kiongozi wa dili kuwa ''unakubali kumuoa huyu binti awe wako hadi kifo ndio kiwatenganishe?'' hapa usishangae hapa mtu akimwambia pastor just wait na kuchukua simu na kuzama kwenye inbox kwanza hahaah
Finest , mtoto mdogo yeye kila kittu anapeleka mdomoni huwezi kumpa wembe
Hahahahahahaha! Basi fanya maamuzi magumu, jivue gamba mapema we icheki hyo PM, PRESURE na SUKARI vikipanda ucjal cz babu yupo.
Ahaaa ahaaa mzee naona unajihami mapemaFinest , mtoto mdogo yeye kila kittu anapeleka mdomoni huwezi kumpa wembe
</p><p></p></p>
<p><p>&nbsp;</p></p>
<p>unataka mtoto wa jf ama UMEPATA.nina wasiwasi kama unatangaza ndoa ama unatafuta mchumba.samahani,huyo kwenye tangazo la ndoa <font color="red">ndo bibie mtarajiwa?[/</font>QUOTE]</p>
<p> </p>
<p>pigia mstari, na ndio maana nimetangaza kwanza ili kuondoa manun'guniko badae
<p> </p>
heeeh!kama ndo huyo basi na mie nna shock yako.utafute mtu wa karibu na ukae kitako manake usife wimawima.ukiwa tayari niweke hapa hadharani manake najua pm hutasoma!
a - a haya ni maamuzi magumu sana kama ya kujivua gamba , siwezi kuifungua sasa hivi ngoja siku ziende ende kwanza