AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
EHH!
Asha D alishasema ana mume wake! je utamuombea ruhusa kwa mumewe..?
faiza fozxy ana gozi.. wenyewe wana miaka 40 ya ndoa... je utaliomba ruhusa gozi utoke na mkewe
husninyo & AD ... sina uhakika...
week end njema Mkuu!!!!
Namaste Viper... Nimesha mtonya... bora hata ange pm... hata
hubby nikimwambia nimemkaribisha fellow jf member asingemaindi....lol
off thread: Hujanipa progress... anything new... au ndo unasubiri jina ya something new??