Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wakuu naguswa sana na namna Rais Obama anavyoonekana kuijali familia yake. Kila wakati anaposafiri lazima aongozane na mke wake pamoja na mabinti zake. Binafsi ningependa sana kuona rais wangu Mh. Kikwete akiongozana na mke wake pamoja na watoto wake wote.
Hii itakuwa ni mfano mzuri kwa sisi anaotuongoza kuiga mfano wake wa kuzijali familia zetu. Hii itapunguza wanaume wengi kukimbia wake zao na kutelekeza watoto.
Ni mtizamo tu wanaJF.
Hii itakuwa ni mfano mzuri kwa sisi anaotuongoza kuiga mfano wake wa kuzijali familia zetu. Hii itapunguza wanaume wengi kukimbia wake zao na kutelekeza watoto.
Ni mtizamo tu wanaJF.