Jaman!
Baada ya kuja na visa vyangu vingi kipindi cha nyuma,nilipata mpenz mwingine ambaye tulipendana kupita kiasi,ila kibaya alikua nimwepesi kukasirika,hata kosa dogo analikuza na mm nilikuja kujua anakua hivyo kisa maumbile yake ni madogo uzuri alikua anajitahidi sana na nnlikua nnatosheka kabisa.
mm huwa napenda mazoezi,siku nikamwambia nataka nianze mazoezi akakubali baada ya kujiandikisha na kulipa ada akaanza visa mara ooo hamna kwenda gym, au chaga gym na mm,
Mara ya pili amesafir napiga cmu anaanza gomba unapiga cmu asubuhi nimellala,.nikamwambia sasa nisipokupigia ww nntampigia nani?au unataka nitafute wakumpigia coz c mara ya kwanza kuniambia hivyo.
Baadae akanipigia cmu mchana tukaongea vizur.nikampigia jioni hakupokea cmu mpaka leo,then ananiambia niandike sms tu tena anazijibu chache anazojisikia.
Jaman nnapata shida kwann mimi tu!
Mwenye dawa ya mapenzi aniambie mbona mie nnaumia kila mara
Baada ya kuja na visa vyangu vingi kipindi cha nyuma,nilipata mpenz mwingine ambaye tulipendana kupita kiasi,ila kibaya alikua nimwepesi kukasirika,hata kosa dogo analikuza na mm nilikuja kujua anakua hivyo kisa maumbile yake ni madogo uzuri alikua anajitahidi sana na nnlikua nnatosheka kabisa.
mm huwa napenda mazoezi,siku nikamwambia nataka nianze mazoezi akakubali baada ya kujiandikisha na kulipa ada akaanza visa mara ooo hamna kwenda gym, au chaga gym na mm,
Mara ya pili amesafir napiga cmu anaanza gomba unapiga cmu asubuhi nimellala,.nikamwambia sasa nisipokupigia ww nntampigia nani?au unataka nitafute wakumpigia coz c mara ya kwanza kuniambia hivyo.
Baadae akanipigia cmu mchana tukaongea vizur.nikampigia jioni hakupokea cmu mpaka leo,then ananiambia niandike sms tu tena anazijibu chache anazojisikia.
Jaman nnapata shida kwann mimi tu!
Mwenye dawa ya mapenzi aniambie mbona mie nnaumia kila mara