Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
unajua mara nyingi watu wanakuwa kwenye uhusiano bila kutambua wapo kwa ajili gani,,inwezekana ni mazoea ndo yanafanya watu waendelee kuwa pamoja japomapenzi yamepungua,,
hizo sababu hufanya watu kuanza kutafuta mibadala bt kwa umakini kuhofia kurudia makosa tena,,hapo ndo nakupenda ila nina mtu wangu inapokuja,,,,huo ni mtizamo wangu tu ndo mana lile swala la kukomaa likaniijia kichwani pengine kwa uelewa wangu mfinyu nikiwaza hivyo
HAYA. . . kila la kheri.