Kateka Sanza
Member
- Jun 8, 2013
- 44
- 8
Wadau mi ni mkazi wa jimbo la kalambo na ni kijana umri wangu miaka 30. Nimemaliza shahada ya kwanza UDOM nilipata nafasi ya kuwa Wazir serikali ya wanafunzi. Sasa nawiwa kuingia kwenye siasa nikiomba kugombea ubunge jimbo la kalambo. Haja yangu kubwa ni kutaka kuwatetea wanyonge waliotelekezwa hadi wamekata tamaa sasa naona ndo muda muafaka kwangu kuwatumikia wananchi. Je nipitie chama gani? Naomba ushauri wadau.