mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
kila mara tangu nijiunge na jf, nahangaika kudeactivate facebook account yngu naomba njia
Duuh hao fb ni kama freemason, ukiingia umeingia hutoki, ukitoka tu basi kifo. We hiyo akaunti achana nayo tu watai deactivate wenyewe.