NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
kwani maandishi ya kiarab yana nini maria si ni lugha tuu au vipi??
Chukua kikaratasi andika maandishi ya kiarabu hata kama hujui kuyaandika wewe koroga tuu halafu kishonee na kitambaa cheusi na kidondoshe kibarazani kwao ila saikuone haha haha nakwambia watahama mtaa lol :heh::heh::heh: