marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Habari za wakati HUU waheshimiwa! Ninataka kujua jinsi ya kuwa na uwezo wa kuonesha mechi za nje hasa za supersport,ninatakiwa kuwa na nini?? Na gharama zake zikoje? Nawasilisha wakuu.
Huu mchongo unalpa kinoma. Ila nakushauri uanze mwez wa 9 lig za ulaya na (tz) zkianza. Uwe makini na sehemu za kuweka hasa kwenye mkusanyiko wa vjana k.v chuon, shule, n.k. Pia uwe na ukumbi mkubwa, jnreta, screne kama 3 za kuvutia. Yaani ni kumake proft 2. Kwa cku hukosi lak2.
Habari za wakati HUU waheshimiwa! Ninataka kujua jinsi ya kuwa na uwezo wa kuonesha mechi za nje hasa za supersport,ninatakiwa kuwa na nini?? Na gharama zake zikoje? Nawasilisha wakuu.