Nataka kusoma Pharmacy lakini nilipangiwa kusoma Clinical Medicine. Naombeni Ushauri

Nov 29, 2020
11
0
Samahani ndg zangu

Nilikuwa naomba kuuliza kwa wenye uelewa na hili Jambo. Mimi nimemaliza form four mwaka Jana nikawa nimechaguliwa chuo kwenda kusoma course ya clinical medicine na tamisemi na Malengo yangu ilikuwa kusoma pharmacy

Nilienda chuo nikalipoti na nikafanyiwa usajili nikajua unaweza kuhamia chuo kingine kama course unayoitaji haipo lkn haikuwa kama nilivyofikili mimi kwa upeo wangu. Nimechukua jukumu nikaanika barua kwa mkuu wa chuo kusitisha masomo(kuacha) kwa lengo la mwakani nifanye application upya

Je ninaweza kuchaguliwa
 
2019 nimemaliza kidato cha nne ni matoke yng yalikuw hay
Physics-D
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Geography-C
History-C
Kiswahili-B
Civics-B

Nilichaguliwa diploma ya clinical medicine na tamisemi lakini me nilikuwa nataka kusoma pharmacy chuo kilipofunguliwa nilienda kuriport na kufanyiwa usajiri chuoni , na niliamini kuwa tachukua huamisho kwa kuwa koz hiy haikuwep hapo chuoni , niliamua kuandika barua ya kusitisha masomo kwa lengo la mwakani niaapply upya lakin nikiangalia bado Niko kwenye system ya nacte . Ndiy nauliza kwa wenye uelewa ninaweza fanya application nikapata chuo na pia chuo kinachukua muda gani kukutoa kwenye system ya kusomeka nacte. Na cha nyongez nawez pata tena chuo cha serikali kusoma hiyo course ya phyamancy
 
2019 nimemaliza kidato cha nne ni matoke yng yalikuw hay
Physics-D
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Geography-C
History-C
Kiswahili-B
Civics-B

Nilichaguliwa diploma ya clinical medicine na tamisemi lakini me nilikuwa nataka kusoma pharmacy chuo kilipofunguliwa nilienda kuriport na kufanyiwa usajiri chuoni , na niliamini kuwa tachukua huamisho kwa kuwa koz hiy haikuwep hapo chuoni , niliamua kuandika barua ya kusitisha masomo kwa lengo la mwakani niaapply upya lakin nikiangalia bado Niko kwenye system ya nacte . Ndiy nauliza kwa wenye uelewa ninaweza fanya application nikapata chuo na pia chuo kinachukua muda gani kukutoa kwenye system ya kusomeka nacte. Na cha nyongez nawez pata tena chuo cha serikali kusoma hiyo course ya phyamancy
Muhimbili ili upate Pharmacy ilibidi uwe na A katika chemistry na A/B katika number maana pale competition ni kubwa ,Sijui kwa vyuo vingine hali ikoje...Ufaulu wako ni mzuri Lakini Hutakosa Pharmacy jaribu tena...

Omba ushauri mapema usingoje hadi umeshaquit ndio uombe...iyo clinical medicine ni nzuri Sema kama hauhitaji Go for what you want
 
2019 nimemaliza kidato cha nne ni matoke yng yalikuw hay
Physics-D
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Geography-C
History-C
Kiswahili-B
Civics-B

Nilichaguliwa diploma ya clinical medicine na tamisemi lakini me nilikuwa nataka kusoma pharmacy chuo kilipofunguliwa nilienda kuriport na kufanyiwa usajiri chuoni , na niliamini kuwa tachukua huamisho kwa kuwa koz hiy haikuwep hapo chuoni , niliamua kuandika barua ya kusitisha masomo kwa lengo la mwakani niaapply upya lakin nikiangalia bado Niko kwenye system ya nacte . Ndiy nauliza kwa wenye uelewa ninaweza fanya application nikapata chuo na pia chuo kinachukua muda gani kukutoa kwenye system ya kusomeka nacte. Na cha nyongez nawez pata tena chuo cha serikali kusoma hiyo course ya phyamancy
Physics D ngoja waje kukupa muongozo
 
Samahani ndg zangu

Nilikuwa naomba kuuliza kwa wenye uelewa na hili Jambo. Mimi nimemaliza form four mwaka Jana nikawa nimechaguliwa chuo kwenda kusoma course ya clinical medicine na tamisemi na Malengo yangu ilikuwa kusoma pharmacy

Nilienda chuo nikalipoti na nikafanyiwa usajili nikajua unaweza kuhamia chuo kingine kama course unayoitaji haipo lkn haikuwa kama nilivyofikili mimi kwa upeo wangu. Nimechukua jukumu nikaanika barua kwa mkuu wa chuo kusitisha masomo(kuacha) kwa lengo la mwakani nifanye application upya

Je ninaweza kuchaguliwa

Ulipata chuo gan..
 
Back
Top Bottom