mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,867 8,271 Jul 8, 2012 #1 Kwa anayeumiliki msitu wa Mabwepande nataka kuununua kwa bei yoyote ile,nawakilisha
MNYISANZU JF-Expert Member Oct 21, 2011 7,048 1,102 Jul 8, 2012 #3 WatakuUlimboka bure bora ukafuge simba na chui humo.
The Listener JF-Expert Member Feb 5, 2012 993 213 Jul 8, 2012 #4 mfianchi said: Kwa anayeumiliki msitu wa Mabwepande nataka kuununua kwa bei yoyote ile,nawakilisha Click to expand... Nakushauri uwaulizie wale wanaoutumia kwa 'shughuli zao'. Nadhani utakuwa umenipata vyema
mfianchi said: Kwa anayeumiliki msitu wa Mabwepande nataka kuununua kwa bei yoyote ile,nawakilisha Click to expand... Nakushauri uwaulizie wale wanaoutumia kwa 'shughuli zao'. Nadhani utakuwa umenipata vyema
Ndechumia JF-Expert Member Jul 15, 2011 1,103 420 Jul 8, 2012 #6 hawawezi kuuza, manake watakosa pa kufanyia kafara
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Jul 8, 2012 #7 Ha ha ha!!!Ukitaka mgodi wa dhahabu utapewa bure lakini sio kununua Mabwe...!!!
Democracy999 JF-Expert Member May 26, 2012 945 189 Jul 8, 2012 #8 Tunaufanya buga ya Taifa, will creat a lot jobs and money for the state
mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,867 8,271 Jul 9, 2012 Thread starter #9 Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato
Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,926 31,169 Jul 9, 2012 #10 mfianchi Weka propasal zako pengine watashawishika kukuuzia. mfianchi said: Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mfianchi Weka propasal zako pengine watashawishika kukuuzia. mfianchi said: Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato Click to expand...
Money Stunna JF-Expert Member Aug 9, 2011 13,054 6,281 Jul 9, 2012 #11 awawezi kuuza ata ungetoa pesa nyingi kiasi gani,uo msitu upo kwa kazi maalumu